A
Anonymous
Guest
Ofisi ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Mtwara imekuwa kikwazo sana kwa wateja, hakuna huduma nzuri na mambo meni hayaendi kwa wakati, wanachelewesha mambo hata katika mambo ambayo hayana vikwazo hivyo.
Kuna Mtumishi mmoja anaitwa Neema, huyu amekuwa akiwanyanyasa Watu sana na kuwarudisha kila siku kwa makosa madogo ambayo mhusika anaweza kuyarekebisha muda huohuo.
Anawaambia watu “rudi kesho” wakati amesharekebisha makosa, huyu mtumishi ni jeuri sana, tunaomba NIDA makao makuu, Watu wanalalamika sana.
Kuna Mtumishi mmoja anaitwa Neema, huyu amekuwa akiwanyanyasa Watu sana na kuwarudisha kila siku kwa makosa madogo ambayo mhusika anaweza kuyarekebisha muda huohuo.
Anawaambia watu “rudi kesho” wakati amesharekebisha makosa, huyu mtumishi ni jeuri sana, tunaomba NIDA makao makuu, Watu wanalalamika sana.