Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hivi kuna tume inayoweza kufwatilia upatikanaji wa hivi vitambulisho vya nida
Yaani vimekuwa kama passport ya kuingia mbinguni
Unambiwa njoo wk 2 upate namba unafika wiki ya tatu unaambiwa hamna njoo wiki ijayo
Unakwenda unaambiwa chukua no hii uwe unatupigia ukiwa tayari tu takujulisha
Hapo n miezi 2 jaman nenden kawe nida mkaone haya malalamiko wahojini wale watu walio nje kila mmoja analia urasimu kila siku kila sehemu hamchoki
Tunaomba wakurugenzi husika wafatilie hizi ofisi pls tunateseka sana wengine kama sio hizi sheria zenu passport sijui.Xxz tuwe nazo tusingethubutu kuziitaji
Naomba tusaidien kupata hizi kadi maana mnatangaza watu wajazane wakati hamna uwezo wa kuhudumia kwa wakati
Mungu awawezeshehivi kuna tume inayoweza kufwatilia upatikanaji wa hivi vitambulisho vya nida
Yaan vimekuwa kama passport ya kuingia mbinguni
Unambiwa njoo wk 2 upate namba unafika wiki ya tatu unaambiwa hamna njoo wiki ijayo
Unakwenda unaambiwa chukua no hii uwe unatupigia ukiwa tayari tu takujulisha
Hapo n miezi 2 jaman nenden kawe nida mkaone haya malalamiko wahojini wale watu walio nje kila mmoja analia urasimu kila siku kila sehemu hamchoki
Tunaomba wakurugenzi husika wafatilie hizi ofisi pls tunateseka sana wengine kama sio hizi sheria zenu passport sijui.Xxz tuwe nazo tusingethubutu kuziitaji
Naomba tusaidien kupata hizi kadi maana mnatangaza watu wajazane wakati hamna uwezo wa kuhudumia kwa wakati
Mungu awawezeshe
Yaani vimekuwa kama passport ya kuingia mbinguni
Unambiwa njoo wk 2 upate namba unafika wiki ya tatu unaambiwa hamna njoo wiki ijayo
Unakwenda unaambiwa chukua no hii uwe unatupigia ukiwa tayari tu takujulisha
Hapo n miezi 2 jaman nenden kawe nida mkaone haya malalamiko wahojini wale watu walio nje kila mmoja analia urasimu kila siku kila sehemu hamchoki
Tunaomba wakurugenzi husika wafatilie hizi ofisi pls tunateseka sana wengine kama sio hizi sheria zenu passport sijui.Xxz tuwe nazo tusingethubutu kuziitaji
Naomba tusaidien kupata hizi kadi maana mnatangaza watu wajazane wakati hamna uwezo wa kuhudumia kwa wakati
Mungu awawezeshehivi kuna tume inayoweza kufwatilia upatikanaji wa hivi vitambulisho vya nida
Yaan vimekuwa kama passport ya kuingia mbinguni
Unambiwa njoo wk 2 upate namba unafika wiki ya tatu unaambiwa hamna njoo wiki ijayo
Unakwenda unaambiwa chukua no hii uwe unatupigia ukiwa tayari tu takujulisha
Hapo n miezi 2 jaman nenden kawe nida mkaone haya malalamiko wahojini wale watu walio nje kila mmoja analia urasimu kila siku kila sehemu hamchoki
Tunaomba wakurugenzi husika wafatilie hizi ofisi pls tunateseka sana wengine kama sio hizi sheria zenu passport sijui.Xxz tuwe nazo tusingethubutu kuziitaji
Naomba tusaidien kupata hizi kadi maana mnatangaza watu wajazane wakati hamna uwezo wa kuhudumia kwa wakati
Mungu awawezeshe