NIDA ni mzigo tu matapeli wanajisajili vipi bila alama za vidole

NIDA ni mzigo tu matapeli wanajisajili vipi bila alama za vidole

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Yaani hii nchi vituko havujawahi kuisha, pamoja na serikali kutukamia haya mambo ya Nida lakini bado tunaambiwa tuwe tunahakikisba taarifa ya line tulizosajili, hii kwahiyo inamaanisha tapeli akiwa na namba yako ya nida anaweza kusajili line?

Hii ishu hata siielewagi maana ninachojua ni kwamba mtu inabidi awe na nida na kuweka alama ya kidole.
 
Yaani hii nchi vituko havujawahi kuisha, pamoja na serikali kutukamia haya mambo ya Nida lakini bado tunaambiwa tuwe tunahakikisba taarifa ya line tulizosajili kwasababu tapeli akiwa na namba yako ya nida anaweza kusajili line.

Hii ishu hata siielewagi maana ninachojua ni kwamba mtu inabidi awe na nida na kuweka alama ya kidole.
Screenshot_20210710-003712.png
 
Yaani hii nchi vituko havujawahi kuisha, pamoja na serikali kutukamia haya mambo ya Nida lakini bado tunaambiwa tuwe tunahakikisba taarifa ya line tulizosajili, hii kwahiyo inamaanisha tapeli akiwa na namba yako ya nida anaweza kusajili line?

Hii ishu hata siielewagi maana ninachojua ni kwamba mtu inabidi awe na nida na kuweka alama ya kidole.
Acha ulalamishi,
Piga *106# ingiza namba yako ya NIDA futa namba zote za simu ambazo huzitambui endapo zimesajiliwa na NIN yako. Acha kulalamika Teknolojia imekua sana.
 
Yaani hii nchi vituko havujawahi kuisha, pamoja na serikali kutukamia haya mambo ya Nida lakini bado tunaambiwa tuwe tunahakikisba taarifa ya line tulizosajili, hii kwahiyo inamaanisha tapeli akiwa na namba yako ya nida anaweza kusajili line?

Hii ishu hata siielewagi maana ninachojua ni kwamba mtu inabidi awe na nida na kuweka alama ya kidole.
Usajili wa line ufanyike kwenye ofisi rasmi za mitandao husika tuu..! Mawakala wa mitaani wanasajli namba kwa kutumia nyaraka za watu wengine kisha wanaziuza kwa matapeli
 
Huu ndio uongo wa kiwango cha SGR, Hii sms labda ni ya miaka kumi nyuma, sasahivi wanatumia mfumo wa alama za vidole sasa hayo makopi yanatumika vipi?

Kinachofanyika ukienda kusajili line ya tigo yule msajili akimaliza kusajili atakwambia imegoma kumbe imepita sasa mnaporudia kusajili yeye anakusajilia line ya voda au airtel akimaliza atakwambia line yako ya tigo imekubali kwahiyo taratibu nyingine zitaendelea kama kawaida, mkiachana yeye atakuwa kaondoka na line yako ya voda au airtel.
 
Usajili wa line ufanyike kwenye ofisi rasmi za mitandao husika tuu..! Mawakala wa mitaani wanasajli namba kwa kutumia nyaraka za watu wengine kisha wanaziuza kwa matapeli
Na hili liliamriwa enzi za mwendazake kuwa ikifika tarehe 1 mwezi wa nne line zote zisajiliwe ofisini tu ila alivyokata kamba mambo yakabadilishwa
 
Mswahili ukimpa ofisi utajuta😂😀.....
Tatzo wazalendo tukipat izo nafas tunakua dhohfu lihali,tinaendereza madudu ili titengeneze matumbo kwanza🍻🍺
 
Ninachojua haiwezekani mtu akasajili line kwa kitambulisho chako cha taifa,isipokuwa wewe tu mwenye kitambulisho uwke alama ya kidole. Haiwezekani kabisa kusajili kama hukuweka alama za vidole.

Matapeli wanatumia line zilizopotea, wakati wa kisajili wanakutaka uweke alama zaidi ya maramoja kuwa makini hapo. Lakini pia kusajilia mtu au ndugu hii pia ni risk sana.
 
Back
Top Bottom