moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
[emoji1787][emoji28][emoji1787]Wapigie tena labda walikua kwenye vikao
Mkuu kama hutajali naomba ufafanue kidogoNenda tawi lolote la posta utahudumiwa
Sijaelewa hapa TIN number na posta wapi na wapi ufafanuzi tafadharTangazo limetolewa na Waairi wa ndugulile kuwa. Tanzania postal Sasa ivi wanatoa huduma za.
1.brela
2.nida
3.rita
4.tin namba.
Kwa hiyo wahi hizo ni taasisiza serikali zilehamishiwa huko postal ...hata pale dar brela jengo la ushirika washahamishia virago huko posta...
SAHAU..Hivi nikitaka kurekebisha taarifa zangu kwenye kitambulisho changu upi utaratibu wa kufuata?..
Wanajukwaa,
Nina shida ya haraka sana ya kupata NIN toka kwa hawa waheshimiwa wa NIDA.
Cha ajabu ni ngumu sana kupata huduma hii kwenye mtandao
Nimejaribu kwa meseji ya kawaida kwenye ile menu ya *152*00# hakuna kitu.
Kwenda kwenye website ya nida pia hakuna kitu.
Nimepiga namba zote za huduma kwa wateja
0686088888
0677147666
0677146666
0673333444
0800758888
Zote zinaita na Hazipokelewi.
Sasa kama kuna watu wa nida wataobahatika kuusoma uzi huu wanicheki pm niwape details ili nipate NIN.
Maendeleo Hayana chama.