Nidhibiti vipi utitiri uliozagaa kwenye mazingira yangu?

Nidhibiti vipi utitiri uliozagaa kwenye mazingira yangu?

DENAMWE

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2019
Posts
862
Reaction score
871
Kuna kuku waliatamia muda mrefu bila kutotoa. Nahisi hayakuwa na mbegu.

Baadae kumezuka utitiri mwingi mno kwenye mazingira yote ya ndani na nje ya banda. Nimepiga dawa kuua wadudu aina ya Rungu lakini ilisaidia kidogo.

Je nitumie dawa gani kuwadhibiti?
 
Akher powder takufaa mkuu, binafsi ilishanisaidia Sana siku zilizopita
 
Narudia tumia utravin...utakuwa barozi kwa wengine
 
Kuna kuku waliatamia muda mrefu bila kutotoa. Nahisi hayakuwa na mbegu.

Baadae kumezuka utitiri mwingi mno kwenye mazingira yote ya ndani na nje ya banda. Nimepiga dawa kuua wadudu aina ya Rungu lakini ilisaidia kidogo.

Je nitumie dawa gani kuwadhibiti?
DUDU DUST NI KIBOKO
 
Kuna kuku waliatamia muda mrefu bila kutotoa. Nahisi hayakuwa na mbegu.

Baadae kumezuka utitiri mwingi mno kwenye mazingira yote ya ndani na nje ya banda. Nimepiga dawa kuua wadudu aina ya Rungu lakini ilisaidia kidogo.

Je nitumie dawa gani kuwadhibiti?
Pole sana kwa changamoto hii, naomba pia usafi ktk mazingira ya banda lako kwa nnje na ndani halafu unyunyuzie chokaa kuzunguka banda lako na kutumia dawa Akher powder, barikiwa sana ndugu.
 
Back
Top Bottom