Naombeni kujuzwa wadau,, pindi matokeo ya kidato cha sita yanapo toka ntawezaje kujua idadi ya wanafnz waliopata division one.?
mfano: PCB dvsn one 300
PCM dvsn one 600
huwa kuna miaka baraza la mitihani wanasema 1 zipo kadhaa, 2 na 3, miaka mingine huwa hawasemi kabisa wanageneralize tu 1-3, ila kuspecify kabisa kwamba ni za comb gani sidhani, labda ianze mwaka huu, na ni ishu ya baraza hakuna source nyingine