Madaktari na wataalamu wa afya karibuni kwenye uzi huu,
Nimekuwa nikipata shauku na kutokuelewa kuhisu hiki kitu,ni kweli inawezekana mwanamke akapata mimba baada ya siku ya urutubishaji,,na inatokeaje...karibuni sana..
Ovulation huanza siku ya 11
So siku hizo ulizotaja kuna uwezekano mkubwa sana kupata mimba
13 hadi 14 uwezekano wa kupata mtoto wa kiume ni 90%
Zilizobak had siku ya 17 ni za mtoto wa kike
Madaktari na wataalamu wa afya karibuni kwenye uzi huu,
Nimekuwa nikipata shauku na kutokuelewa kuhisu hiki kitu,ni kweli inawezekana mwanamke akapata mimba baada ya siku ya urutubishaji,,na inatokeaje...karibuni sana..