Nielimishe kuhusu hili.....

Nielimishe kuhusu hili.....

SKOMBA

Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
13
Reaction score
2
Nini matumizi au utofauti wa "ya" na "wa" ktk sentensi? wana JF naomba nielimisheni..
 
Katika sentensi ya na wa hutumika kuonesha umiliki mfano: Gari 'ya' Mzee, Nyumba 'ya'ngu. Mtoto 'wa' kaka. Mara nyingi "wa" hutumika zaidi kwa kuonesha umiliki wa vitu vyenye uhai na "ya" kwa visvyo na uhai. Japo wakati mwengine sio lazima iwe hivyo mfano Bustani "ya" Pili, Mti "wa" Pili. "Na" hutumika kama kiunganishi cha vitu viwili au zaidi mfano Sisi 'na' nyinyi, Mbwa 'na' fisi n.k. Wengine watachangia zaidi
 
Back
Top Bottom