MDANGANYIKAJI
Member
- Jan 27, 2011
- 77
- 59
waambie mkuuHahaha mwendo wa cocktail sio?
ahahaaa sikuteki bwana hata nikikuteka jtatu mapemaa nakuachiliaNitakuwepo ila nina wasiwasi unaweza kuniteka.
ADah.. Yani unatishia watu na Mikasa lounge!!!Ama nianzie 40/40 pale Tabata Bima ama The great park pale Barakuda ama Kwetu pazuri ingawa haina shangwe now days ama Makhirikhiri kule Kinyerezi?
Ungana nami jioni ya Leo nikiwa Tabata kwa wala bata.
Daa nimesahau Mikasa lounge!
Yeah the great park mkuu...njoo tutupie vitu taratibuUnamaanisha The Great Park?
Sio maeneo yangu hayo mkuu...huwa napita tu hapo, hata saa 11 alfajiri unakuta raia kibao.Yeah the great park mkuu...njoo tutupie vitu taratibu
Atajirekebisha usijaliPoa poa..ingawa toroka dj masai nyimbo zake hizo hizo....anyway tutakutana hapo nafuataga ulimi wanauza ulimi mzuri Sana.
Haina noma mkuu..ngoja sis tupunguze stess za wiki nzimaSio maeneo yangu hayo mkuu...huwa napita tu hapo, hata saa 11 alfajiri unakuta raia kibao.
Kila la kheri mkuu.Haina noma mkuu..ngoja sis tupunguze stess za wiki nzima
ahahaaa sikuteki bwana hata nikikuteka jtatu mapemaa nakuachilia
huku jf kumbe raia wote wa tabata bwana sijaona mtu wa the pallet hapa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Muda si mrefu utahamia China bar!huku jf kumbe raia wote wa tabata bwana sijaona mtu wa the pallet hapa
mkuu kuna hii barabara ya kushuka kanisa la mbezi beach lutheran kama unaenda kawe kuna bar flan mitaa ya chinichini kuna raia huwa wanakesha pale hata saa mbili asubuhi unawakuta huwa kuna nini special pale? maana asubuhi unawakuta kama kawaida utadhani ndo wamefikaMuda si mrefu utahamia China bar!
Si ndio hio China bar chief! we nenda tu pana mambo pale!mkuu kuna hii barabara ya kushuka kanisa la mbezi beach lutheran kama unaenda kawe kuna bar flan mitaa ya chinichini kuna raia huwa wanakesha pale hata saa mbili asubuhi unawakuta huwa kuna nini special pale? maana asubuhi unawakuta kama kawaida utadhani ndo wamefika
Top Garage hapo.mkuu kuna hii barabara ya kushuka kanisa la mbezi beach lutheran kama unaenda kawe kuna bar flan mitaa ya chinichini kuna raia huwa wanakesha pale hata saa mbili asubuhi unawakuta huwa kuna nini special pale? maana asubuhi unawakuta kama kawaida utadhani ndo wamefika
Pamejificha mno hukoFrishers arena Kinyerezi kipo poa sana na mandhari mazuri