Niende mkoa au jiji gani kwaajili ya kufanya biashara ya mitumba?

Niende mkoa au jiji gani kwaajili ya kufanya biashara ya mitumba?

Kiti Chema

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2017
Posts
1,793
Reaction score
1,961
Habari ya majukumu wanafamilia wa JF, natumai nyote mpo wazima wa afya na poleni kwa walio wangonjwa.

Nimekuja kuomba msaada wa mawazo ya kibiashara kwa mkoa au jiji lililo changamka katika Sekta ya Biashara.

Mimi ni kijana ambaye kwa sasa naishi Kigoma mpaka hapa nahisi napoteza welekeo wa maisha baada ya kupitia changamoto mbali mbali katika kazi za kuajiriwa na kujiajiri (za ufundi wa upakaji rangi na umeme wa majumbani)

Akili yangu imeangukia kwenye wazo la biashara ya mitumba ila kwa mtaji mdogo tu ili namimi angalau niwe na kitu cha kuniingizia kipato angalau hata kwa siku kuliko kuwa jobless.

Natanguliza shukurani kwenu na nitaheshimu mchango wa kila mtu.

1620111860082.png

 
Kila mahali lazima upapambane ili kutoboa,.Ila kwa hapa fursa hiyo nimeioa sema sitodumu huku muda mrefu ndio maana sijaichangamkia...kama upo serious jaribu.
Yes, nipo serious, nithubutu nione, asante pia kwa mchango wako.
 
Kahama fursa ipo, kama sio Kahama basi ajichanganye vijijini kwenye minada awe anazunguka atapata faida kubwa sana....
 
Mtumba unauzika sana kwenye vijiji vyenye utaratibu wa kuwa na magulio
 
Back
Top Bottom