Niende wapi na four ya 27??

Nelson noah

Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
10
Reaction score
0
Nisaidieni wana jf course ya kusoma nianze na certificate kwa sababu sina muelekeo nina d zote na c ya n
 
"Niende wapi na four ya 30??"

Naona umekuja kivingine
 
Nakujibu kama nilivyomjibu mwenzio kama hukuwa wewe mwenyewe.... Kwa matokeo ya ujumla mwaka huu yalivyo, inawezekana ukaitwa A Level. Ikishindikana basi wala usiwe na shaka, ualimu wa grade A ni wa kufikia!!!!!
 
Ualimu kama ni chaguo lako na lilikuwepo mawazoni mwako elekea huko ila kama haikuwa chaguo lako pita njia mkato anza cheti hatimae utafika maisha ni moyo usikate tamaa wengi wana four kama zako na wapo pazuri sasa
 
uckonde ndugu hiyo four ya 27 mwaka huu inaliliwa xana juxt wait posting za shule ztoke
 
habar wana jf: nina 4 ya 26 nina c ya kemia na c ya bios then d zote zlizo bak, nifanye nn
 
Nakushauri tafuta chuo cha utabibu/medical assistant, hata kama utafanikiwa kupata Laboratory technician omba, na ukipata jitahidi kujiendeleza kwa kusoma kwa juhudi na kwa malengo, n nakuahidi kwa c hizo utakuwa daktari mzuri tu. Labda kama hiyo sio taste yako. Otherwise I feel u r good in that.
 
Hivi uko serious kweli..au unatania..nenda kalime kwa matokeo hayo wewe huwezi shule completely
 
Ualimu kama ni chaguo lako na lilikuwepo mawazoni mwako elekea huko ila kama haikuwa chaguo lako pita njia mkato anza cheti hatimae utafika maisha ni moyo usikate tamaa wengi wana four kama zako na wapo pazuri sasa

ualimu akafanye nini!!???... Akasome certificate ya kitu chochote... Tushachoka matokeo ya division5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…