Nelson noah
Member
- Feb 8, 2013
- 10
- 0
Ualimu kama ni chaguo lako na lilikuwepo mawazoni mwako elekea huko ila kama haikuwa chaguo lako pita njia mkato anza cheti hatimae utafika maisha ni moyo usikate tamaa wengi wana four kama zako na wapo pazuri sasa