Nifafanulie dr. Riwa

Shadya

Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
87
Reaction score
42
Kwa yeyote anayeelewa. Mwezi uliopita nimeingia kwenye siku zangu tarehe 29, na mwezi huu nimeingia tarehe 24. Je ni tarehe gani ambayo nitaweza kupata mtoto?
 
Poleni Shadya na Preta...nikuwa nakula ugali kwa dagaa for lunch, mtamu balaa!

Shadya, ni vigumu kidogo kujua urefu wa mwezi kwa kutoa trend ya mwezi mmoja tu, kwani huwa cyle inabadilika badilika kwa siku moja mbili hivi. Tarehe 26 September mpaka 24 October ni siku 27 hivi...naamini mzunguko wako utakuwa wa siku 28. Tuanzie hapo...

Unaanza kuhesabu tangu siku umeanza ingia hedhi...hivyo tutaanzia tarehe 24. Kwa mzunguko wa siku 28, ina maaka siku ya kati kati ya mzunguko ambapo yai linatolewa (ovulation) ni siku ya 14. Kwahiyo ukiongeza siku 14 kwenye tarehe 24 tunapata tarehe 6 ya mwezi november kuwa ndio siku utatoa yai.

Lakini yai linaweza rutubishwa na mbegu zilizomwagwa ukeni hata siku zilizopita kabla ya yai kutoka, na pia mpaka siku 4 tangu yai litoke...so siku zako za hatari zitaanzia tarehe 3 November mpaka tarehe 10 November. Siku ambazo zina uwezekano mkubwa wa kuzaa mtoto wa kike ni tarehe 3, 4, na 5 November...na siku za uwezekano mkubwa wa kuzaa mtoto wa kiume ni tarehe 8 au 9 November.
 
asante sana kwa kuiitikia wito nashukuru.
 
DR RIWA ungeweka na Office yako ulipo
waanze kukulipa aisee.....waje wakulipe....its high time...
 
Isije ikawa unachukua mme wa mtu,, dr kua makiniutachuma dhambi bure. wink.
 
Isije ikawa unachukua mme wa mtu,, dr kua makiniutachuma dhambi bure. wink.

Code of conduct kwa madaktari inasema ni utovu wa maadili kwa daktari kuwa na uhusiano wa 'kimapenzi' na mgonjwa wake...adhabu yake unweza fungiwa leseni kutoa huduma. Halafu shadya na Preta ni dada zangu kabisa wa mndenyi, usihofu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…