nifafanulieni kuhusu hili....

CTX

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
1,273
Reaction score
985
wakuu mko poa...

hivi kama mtoto wa mwenzio umuone kama wa mtoto wako,,kama alivyoimba msanii mmoja wa nyimbo za injili hapa Tanzania,

vipi,mke wa jirani yangu pia nimuone kama mke wangu?
na hivyo hivyo kwa mwanamke, je mme wa mwenzie amuone kama mme wake?

nauliza tu jamani sitaki matusi aisee....🙂🙂
 
Angalau wewe umekuwa mbunifu kidogo katika harakati zenu za kuvizia wake za watu.....

Endelea ndugu, kushikilia kichwa kwa magoti kunakukaribia......sijui kama umeelewa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…