GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Naulizia tu kuwa amepotelea wapi huyu mwanaJF mwenzetu?
Hivi huyo mdada yuko wapi ....?? Nilikuwa napenda uchangiaji wake kwa kweli. ....
Fursa2017
Aiseee!!Ameshaboldishwa tumboni tayari Mkuu.
Wakikupa fact uni tag tafadhali..Kwani huyo Nifah ni nani hasa humu Jamii Forums mpaka tumjadili?
Amejipa ban kumuunga mkono Le Bold... Nyongo mkalia ini wake
Msimsumbue yupo anaikalia, kama wataka nenda kamsaidie..
Una ugomvi nae?Mimba aliyopewa imemnyong'onyesha / imemboldisha mikono yake yote hivyo kwa sasa hawezi kutumia Computer au Electronic gadget yoyote ile labda mpaka mwakani mwezi November atakapojifungua. Vipimo vya Mimba yake vinasema hatoweza kujifungua ndani ya miezi tisa ( 9 ) kama kawaida ila kwa Yeye atajifungua ndani ya miezi 11 au 13 ijayo.
[emoji23] [emoji23]Yupo bize anakalia miti ya The bold
Naulizia tu kuwa amepotelea wapi huyu mwanaJF mwenzetu?