Nifahamisheni kuhusu kabila la Wakara

Nifahamisheni kuhusu kabila la Wakara

Ford Range

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
344
Reaction score
525
Habarini wanajf, katika pitapita zangu huku kanda ya ziwa( Mwanza) nikakutana na kabila la wakara, ambao nasikia kuwa ni watata sana ktk mila yaani wanafuga mamba na ukiwazingua tu hunywi maji wala huogi.

Huko kwao kuna jiwe la ajabu linacheza ila ni kwa amri tu ya wazee wao, hebu tujuzane wanajf, hii jamii ni kweli ipo hivyo kama nilivyosikia?

Vipi mwamko wa elimu katika jamii hii upo?
 
Wewe c umesema upo hapo unawaonaje wanapenda elimu au vip,hayo mengine mmh
 
Jamaa yupo kwao alafu anauliza watu ambao hata kuwajua hatuwajui ...

Kuna harufu ya uongo kwenye hili bandiko ......
[emoji23] ndo hapo sasa mm hata silijui hilo kabila la waķara yeye yupo hapo atuambie sifa zao na mambo mengine yanayowahusu wakara
 
We si umekutana nao. Ulitakiwa upate data kamili toka field kwenye vyanzo vya uhakika.
 
.....sifa zooote anazo lakini ni mkara,... Mkara!!!
Mwl. Nyerere angekuwepo angekupa jibu nzuri.
Lala Kwa Amani baba wa Taifa.
 
Nimeondoka mkuu na bandiko lilizingua kupost ndo limekubali night hii
 
Waliokuwa wanatoa story hzo c wenyeji wa kabila hilo
 
Ukio mkara lazima uwe tajiri sana halafu wanawake wao huzaa watoto nane mpaka kumi na mbili. Halafu kabila hili hawapokei mahari mpaka mwanamke azae si chini ya watoto sit
 
Ukio mkara lazima uwe tajiri sana halafu wanawake wao huzaa watoto nane mpaka kumi na mbili. Halafu kabila hili hawapokei mahari mpaka mwanamke azae si chini ya watoto sit
Duh, hawapokei mahari mpaka ndoa ijibu duh, huko ndo pakwenda sasa, but hiyo story ya mamba niliyosikia inatia uoga
 
Mkuu hilo jiwe linalocheza ni kweli lipo katika kijiji cha nyamanga. Na wageni mbalimbali toka ndani na nje ya TANZANIA hutembelea sehemu hiyo.
Suala la mamba si kweli mkuu nimekaa huko 2 yrs kitu kama hicho hakipo. Ni story tu zimebaki.
 
Pia kuna story kwamba kuna mti upo kandokando ya ziwa. majani yake yakiangukia ziwani yanabadilika kuwa mamba na likiangukia nchi kavu linabaki kuwa jani vilevile la kawaida.
But nishafika mpaka huko ziwani na mti wenyewe nikauona.
 
Naona mkuu unapromote kabila lenu. Ila sio mbaya tuelezee kwa undani kuhusu nyie maana ndio nalisikia ilo kabila kwa mara ya kwanza.

Bt usisahau kulipia tangazo lako.
 
Ukio mkara lazima uwe tajiri sana halafu wanawake wao huzaa watoto nane mpaka kumi na mbili. Halafu kabila hili hawapokei mahari mpaka mwanamke azae si chini ya watoto sit
Sasa watoto 12 wanini?
 
Upande wa elimu mwamko upo, mpaka mwaka jana kisiwa cha UKARA kilikuwa kina SEKONDARI MBILI. BWISYA SEKONDARI NA BUKIKO SEKONDARI SHULE CHANGA KWA SASA INA FORM TWO. MWAKANI WATAKUWA NA FORM THREE
 
Pia kuna story kwamba kuna mti upo kandokando ya ziwa. majani yake yakiangukia ziwani yanabadilika kuwa mamba na likiangukia nchi kavu linabaki kuwa jani vilevile la kawaida.
But nishafika mpaka huko ziwani na mti wenyewe nikauona.
Tawile mkulu!
 
Back
Top Bottom