Ford Range
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 344
- 525
Jamaa yupo kwao alafu anauliza watu ambao hata kuwajua hatuwajui ...Wewe c umesema upo hapo unawaonaje wanapenda elimu au vip,hayo mengine mmh
[emoji23] ndo hapo sasa mm hata silijui hilo kabila la waķara yeye yupo hapo atuambie sifa zao na mambo mengine yanayowahusu wakaraJamaa yupo kwao alafu anauliza watu ambao hata kuwajua hatuwajui ...
Kuna harufu ya uongo kwenye hili bandiko ......
Duh, hawapokei mahari mpaka ndoa ijibu duh, huko ndo pakwenda sasa, but hiyo story ya mamba niliyosikia inatia uogaUkio mkara lazima uwe tajiri sana halafu wanawake wao huzaa watoto nane mpaka kumi na mbili. Halafu kabila hili hawapokei mahari mpaka mwanamke azae si chini ya watoto sit
Sasa watoto 12 wanini?Ukio mkara lazima uwe tajiri sana halafu wanawake wao huzaa watoto nane mpaka kumi na mbili. Halafu kabila hili hawapokei mahari mpaka mwanamke azae si chini ya watoto sit
Tawile mkulu!Pia kuna story kwamba kuna mti upo kandokando ya ziwa. majani yake yakiangukia ziwani yanabadilika kuwa mamba na likiangukia nchi kavu linabaki kuwa jani vilevile la kawaida.
But nishafika mpaka huko ziwani na mti wenyewe nikauona.