Nifahamisheni maabara ninayoweza kufanya Urine culture Dar

Nenda kwa Dr Kairuki halafu kwa kuongezea
Mkojo unaotakiwa ni wa katikati yaani unakojoa kidogo kisha unakinga kiasi, ni maelekezo ya Dr
 
Kwa dr kairuki ni wapi?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unatokea morocco(kinondoni) naelekea Mwenge shuka kituo cha Victoria fuata barabara ya mkono wako wa kulia ukiwa uelekeo wa Mwenge- kama unatumia gari binafsi ikiwa Victoria kunja kulia fuata barabara ya lami mkabala na Petrol station ni mwendo kama wa dk 3-5 ni walking distance kwa wazima ila waweza chukua bajaj au bodaboda kwa Mgonjwa.
 
Shukrani sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo lancet laboratory wako very efficient kwa kipimo kama hicho. Ila wana bei za kibabe.
As long as katika private we mtajie tu mkuu,Hizo bei ataenda kukutana nazo yeye mwenyewe
 
Nijuavyo lancet laboratory wako very efficient kwa kipimo kama hicho. Ila wana bei za kibabe.
Niko Regency medical centre nimetaka kupima Urine culture lakini Dr kanishauri nifanye Urinalyisis kwanza .
Nikiwa laboratory nimeambiwa kuna tatizo kidogo kwenye kipimo cha FBP hivyo majibu yatachelewa nikamtania kidogo kwa kumwambia hospital kubwa inabidi iwe na mitambo kibao!!!! Ukiharibika huu unahamia huu.
Akanijibu wao ni LANCET kazi yao ni vipimo tu so anaweza kupata Huduma hapo
 
Anaejua bei ya kupima culture kwa lancet laboratory anijulishe Tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…