Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Niaje wanamichezo
Kwakweli kwa siku hizi nimepunguza mno kufuatilia mpira wa ulaya ila kwa mara chache naingiaga soccer 24 kuchungulia matokeo pale naposikia kuna game
Ajabu nimeingia kuchungulia uefa mara kazaa kwenye standings naona msimamo kama wa ligi kuu sio groups tena
Hii ipo vip wakuu tufahamishane au app tu ndo inazingua
Kwakweli kwa siku hizi nimepunguza mno kufuatilia mpira wa ulaya ila kwa mara chache naingiaga soccer 24 kuchungulia matokeo pale naposikia kuna game
Ajabu nimeingia kuchungulia uefa mara kazaa kwenye standings naona msimamo kama wa ligi kuu sio groups tena
Hii ipo vip wakuu tufahamishane au app tu ndo inazingua