Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kwangu mpya inasoma kwenye tv!ngoja waje.Wana-Jukwaa habari ya muda huu, naomba kuuliza kwenu kwanini Flash yenye ukubwa wa 64 GB au kuanzia 64 GB huwa hazisomi kwenye TV!! Na je nifanyaje ili iweze kusoma kwenye TV?
I format iwe mfumo wa NTFS ndio itasoma nadhani hivyoWana-Jukwaa habari ya muda huu, naomba kuuliza kwenu kwanini Flash yenye ukubwa wa 64 GB au kuanzia 64 GB huwa hazisomi kwenye TV!! Na je nifanyaje ili iweze kusoma kwenye TV?
Asante sana, kwa maana iyo hata Flash yenye 128 GB inakubali nikifuata protocol za namna hii?Flash yenye 64GB mara nyingi inakuwa tayar kwenye mfumo wa EXFAT au NTFS.
32GB kushuka chini ndo unakuwa na mfumo wa FAT32 ambao ndo suitable kwa kusoma kwenye TV na hata deki. Tumia program ya kubadili mfumo kwa ku format to 32GB.Tumia EASY PARTITION MASTER.
So utachek kama tv yako haisomi ntfs badili kwenda fat32 and viceverse.
Ndio mkuu hata external zinakubali piaAsante sana, kwa maana iyo hata Flash yenye 128 GB inakubali nikifuata protocol za namna hii?
Na mm nna tv ya 43 smart tv 4K lakn nikiingza movie kweny flash ya gb32 moja kwa moja haisomi mpaka niiconvert mkuu je nayo inahitaji kuifomart hvo kwenye NTFS au nmepigwa...?Ndio mkuu hata external zinakubali pia
nunueni extrnal disc ni nzuri zaidiNa mm nna tv ya 43 smart tv 4K lakn nikiingza movie kweny flash ya gb32 moja kwa moja haisomi mpaka niiconvert mkuu je nayo inahitaji kuifomart hvo kwenye NTFS au nmepigwa...?
External dsk n bei gaN mkuununueni extrnal disc ni nzuri zaidi
Swali zuri..hizi external disk zinauzwaje kwa Sasa ?External dsk n bei gaN mkuu
kweli mkuu kama gharama n rafk tukachukue hzo hzo tUSwali zuri..hizi external disk zinauzwaje kwa Sasa ?
Upo sawa mkuuFlash yenye 64GB mara nyingi inakuwa tayar kwenye mfumo wa EXFAT au NTFS.
32GB kushuka chini ndo unakuwa na mfumo wa FAT32 ambao ndo suitable kwa kusoma kwenye TV na hata deki. Tumia program ya kubadili mfumo kwa ku format to 32GB.Tumia EASY PARTITION MASTER.
So utachek kama tv yako haisomi ntfs badili kwenda fat32 and viceverse.
KW
kweli mkuu kama gharama n rafk tukachukue hzo hzo tU
External ni hio hio internal iliovishwa Cover, hdd mtumba zimejaa kibao hadi 30,000 unapata plus kasha na cable itakusimamia kama 40,000-45,000Swali zuri..hizi external disk zinauzwaje kwa Sasa ?
Zenye ukubwa gan Kwa bei hiyo?External ni hio hio internal iliovishwa Cover, hdd mtumba zimejaa kibao hadi 30,000 unapata plus kasha na cable itakusimamia kama 40,000-45,000
Maybe around 320GB hivi ama 500gb.Zenye ukubwa gan Kwa bei hiyo?
Naipataje mkuuMaybe around 320GB hivi ama 500gb.