Unataka uzito wa kiasi gani?
Anyway weka karai lenye mafuta, kaanga vitunguu km unavyofanya kwa chips. Zikiwa golden brown zitowe weka pembeni kuchuja mafuta, yasiwe kidogo sana.
Kwenye blender weka tungule na tomato paste kiasi unachotaka saga. Kaanga mchuzi km kawsida utaweka na hivo vitu hapo, hivi viwili vikifanyika utapata mchuzi mzito na uliokoza.
kwa ladha zaidi usiache kuweka kotmiri.
shukran, nmekupata vilivyo. natumai sasa ntaupatia huu upishi. asante sanaUnataka uzito wa kiasi
gani?....anyway weka karai lenye mafuta,kaanga vitunguu km unavyofanya
kwa chips...zikiwa golden brown zitowe weka pembeni kuchuja
mafuta...visiwe kidogo sana. Kwenye blender weka tungule na tomato paste
kiasi unachotaka saga. Kaanga mchuzi km kawsida utaweka na hivo vitu
hapo....hivi viwili vikifanyika utapata mchuzi mzito na uliokozaa...kwa
ladha zaidi usiache kuweka kotmiri..
shukran, nmekupata vilivyo. natumai sasa ntaupatia huu upishi. asante sana
Usisahau karoti ilokwanguliwa....nayo inafanya mchuzi uwe mzito mzito.
Mmh mchuzi ukishapata rangi ya udhurungi inayoelekea nyeusi kwangu hapana aisee..
kuunguza vitunguuhiyo rangi inayoelekea kwenye weusi labda ni mchuzi wa maini
asante namaanisha rost lakulia wali.Mwiko wa upishi wote, ni kuunguza kitunguu ama undercooking it. Kitunguu kinakaangwa hadi kuwa brown.
japo sijaelewa,mchuzi unamaanisha stew ama sauce?
Mchuzi unapendeza ukiwa
na rangi nyekundu ama orange flan hivi sasa hiyo nyeusi hapana kwa mm
lakini.
Sante, nmekupata. Hii ya kueka ngano, nlipata muona dadaangu mmoja akieka maharage yawe mazito, ila yalikua ya biashara. Skupata tumia kwa mchuzi, nashkuru kwa maarifakuna options kadhaa huwa natumia depending na aina ya chakula,unaweza tumia royco mchuzi mix ila jihadhari usieke chumvi nyingi.mana yenyewe huwa ina chumvi,au koroga unga wa ngano kiasi afu mix kwenye mchuzi,njia ingine ni kuacha chakula kiive sana vitu km ndizi na viazi.vinalainika vinafanya mchuzi mzito...ingine kama ni tomato soup plain unaweza pika huo mchuzi ukaiva afu ukasaga kwenye blender na kiazi ulaya kilichochemshwa tiari,chuzi lazma liwe zito...pia kuongeza ladha unaweza unga mchuzi na vitunguu saumu au tumia curry powder mi huwa.naipenda harufu yake
ur welcomed dear...Sante, nmekupata. Hii ya kueka ngano, nlipata muona dadaangu mmoja akieka maharage yawe mazito, ila yalikua ya biashara. Skupata tumia kwa mchuzi, nashkuru kwa maarifa
usibanie viungo na usijaze mimaji,hilo la black unaweza kuviivisha sana vitunguu
Unataka uzito wa kiasi gani?....anyway weka karai lenye mafuta,kaanga vitunguu km unavyofanya kwa chips...zikiwa golden brown zitowe weka pembeni kuchuja mafuta...visiwe kidogo sana. Kwenye blender weka tungule na tomato paste kiasi unachotaka saga. Kaanga mchuzi km kawsida utaweka na hivo vitu hapo....hivi viwili vikifanyika utapata mchuzi mzito na uliokozaa...kwa ladha zaidi usiache kuweka kotmiri..