Bwana kaduga
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 863
- 1,812
Habari zenu waungwana?
Naomba mnisaidie jinsi ya kuyaepuka haya matangazo maana nimekua nikikosa raha kabisa niwapo online.
Yamekuwa yakijitokeza kila baada ya sekunde 3, 2, 1 yaani yamechelewa sana ni sekunde 5,10-30.
Baadhi ya matangazo hayo no haya hapa.
Na mengine mengi ambayo siwezi kuyaweka yote hapa, kiukweli yananikosesha raha.
Jamiiforum Great Thinkers
Naomba mnisaidie jinsi ya kuyaepuka haya matangazo maana nimekua nikikosa raha kabisa niwapo online.
Yamekuwa yakijitokeza kila baada ya sekunde 3, 2, 1 yaani yamechelewa sana ni sekunde 5,10-30.
Baadhi ya matangazo hayo no haya hapa.
Na mengine mengi ambayo siwezi kuyaweka yote hapa, kiukweli yananikosesha raha.
Jamiiforum Great Thinkers