Nifanyaje ili weusi usijitokeze baada ya kunyoa ndevu?

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
Nimekuwa nanyoa ndevu mara kwa mara kwakuwa kibarua changu hakiruhusu kuwa na ndevu. Sasa nimeanza kutokewa na weusi.

Nini nifanye ili nisiwe na weusi baada ya kunyoa ndevu? Naombeni mbinu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…