Teh teh ! umeamua kukata mzizi wa fitina sidhani kama kuna dawa tena zaidi ya hiiTumia pilipili na limao kwa kuweka kwa macho kila upatapo usingizi,dozi kutwa mara tatu.
Asante sana mkuuUkikosa muda kiasi hicho ni hatari mkuu. Unaweza hata usivifanyie kazi hivyo unavyojifunza au kuvisoma. Moja ya kitu muhimu kwenye kufanikiwa ni kujua kuutumia vizuri muda/wakati. Na hapo ndio tofauti ya wanaofanikiwa na wasiofanikiwa.
Kama kweli unataka kujifunza na kusoma vitu vingi, anza na hilo la muda kwanza hautakua na haja ya kutokulala.
Ahsante
Nawasubiri NduguNgoja waje Wataalamu wa afya wakupe faida na hasara ya Usingizi, Mkuu MziziMkavu hebu msaidie huyu jamaa.
Asante sana mkuu