Nifanyaje niache kujichua?

Padri Mcharo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
1,899
Reaction score
3,688
JAMANI..

I am 26 now..
Tangu niingie darasa la 7 mwaka 2004 mpaka leo hii nishamanliza degree 2016 napiga sana PULI...

Lengo langu ilikua kuepuka mademu wakat niko shule...

Hata sasa bado cjapata DEMU..
Lakin nishaichoka hii kitu..

Nashangaa siachi.
Nikikomaa saaaana, two weeks, then napiga tena..

Nifanyeje ili NIACHANE nayo forever???

Mpaka nanihii yangu nahis imepinda sasa... Loh..

Wataalam ushaur jaman
 
Una umri gani sasa?
 
Choma sindano za vichaa Tu, Kila kitu kitakuwa dawa,
 
Haina madhara, wanasayansi wamethibitisha. Ila tatufa demu ukaze utaacha. kinachokusumbua ni saikolojia tu hapo.
 
Tafuta Mwanamke Au Oa Kabisa Utaacha!!
 
Tumia ile njia ya kupaka pilipili mikononi ni nzuri sana
 
Haina madhara, wanasayansi wamethibitisha. Ila tatufa demu ukaze utaacha. kinachokusumbua ni saikolojia tu hapo.
NILITEGEMEA USHAURI KAMA HUU WA KIUTU UZIMMMMA.. ASANTE AISEE
 
tangu darasa 7 mpka unamaliza degree bado unapiga punyeto,ulishndwa ata kupata demu wa kuzugia?na mpka sasa bado haujapata demu aisee.!!!
labda nikwambie kitu siku ukipata demu hiyo kitu haitosimama na kama ikisimama ndani ya sec 30 umeshapizi.
itakuchukua kama miezi 4 uje ukae sawa kuzoea mazingira ya papuchi na joto la papuchi.
 
Ili uache ni lazima uwaze kuacha. Mie nilisafa sana na baada ya kuacha niliadhirika sana kwa demu wangu mpaka nikawa naogopa papuchi eeh maana nilikua tofauti na kipindi sijichui. Yaani nikiingiza tu wazungu hao ooo. Dah sio kitu kizuri hicho
 
Ww ni shoga au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…