fanya toba kwa Mungu pia muombe akutie nguvu iliuweze kushindana na hayo mawazo ya kujichua
chukua kalenda jiwekee malengo kwamba kutoka leo tarX mpaka tarX hapo katikati uweunafanya kila namana kuepukana na kitendo hicho
mf;unatenga siku arubaini kutokea leo hivyo ukimaliza siku moja bila kujichua pale kwenye kalenda unaikata
katika siku hizo zote jaribu kufanya mazoezi ya viungo jichanganye na watu soma vitabu vya dini magazeti nk ilimradi tu visiwe vinachochea ngono
tumia muda mfupi uwapo bafuni badala yake tumia muda mrefuu hapa JF achana na facebook whatsapp badoo nk
ZINGATIA HILO LA KALENDA
yote kwa yote dhamira yako ndio itakayo kubadilisha