S suzy daniel Member Joined Mar 12, 2014 Posts 57 Reaction score 10 Mar 12, 2014 #1 habar wadau, nina sh laki 8 nataka kufanya biashara cjui ip itafaa!
Sita Sita JF-Expert Member Joined Aug 25, 2008 Posts 1,397 Reaction score 520 Mar 12, 2014 #2 upo maeneo gani? fanya biashara ya kitu unachokielewa au unachokipenda usikurupuke kuuza mchicha wakati hujawahi kuona bustani inaandaliwaje
upo maeneo gani? fanya biashara ya kitu unachokielewa au unachokipenda usikurupuke kuuza mchicha wakati hujawahi kuona bustani inaandaliwaje
T tired Senior Member Joined Feb 25, 2014 Posts 107 Reaction score 23 Mar 12, 2014 #4 suzy daniel said: habar wadau, nina sh laki 8 nataka kufanya biashara cjui ip itafaa! Click to expand... ukisema uko wapi, itakuwa rahisi kupata ushauri ambao utakuwa na manufaa
suzy daniel said: habar wadau, nina sh laki 8 nataka kufanya biashara cjui ip itafaa! Click to expand... ukisema uko wapi, itakuwa rahisi kupata ushauri ambao utakuwa na manufaa
Kibo10 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 11,277 Reaction score 8,860 Mar 12, 2014 #5 Uza vocha
Sunshow JF-Expert Member Joined Nov 11, 2011 Posts 1,140 Reaction score 395 Mar 12, 2014 #6 Uza samaki.
S suzy daniel Member Joined Mar 12, 2014 Posts 57 Reaction score 10 Mar 12, 2014 Thread starter #7 mbona hvyo jamani kama huna ushaur kaa kimya, asante kwa ulieuliza nipo maeneo gan mmi nipo geita mkoa mpya
mbona hvyo jamani kama huna ushaur kaa kimya, asante kwa ulieuliza nipo maeneo gan mmi nipo geita mkoa mpya
kbmk JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 776 Reaction score 158 Mar 12, 2014 #8 Mkuu unaweza kumwaga details ya ulichosomea? kama ni vocha inalipa huku Dar sijui huko suzy daniel said: mbona hvyo jamani kama huna ushaur kaa kimya, asante kwa ulieuliza nipo maeneo gan mmi nipo geita mkoa mpya Click to expand...
Mkuu unaweza kumwaga details ya ulichosomea? kama ni vocha inalipa huku Dar sijui huko suzy daniel said: mbona hvyo jamani kama huna ushaur kaa kimya, asante kwa ulieuliza nipo maeneo gan mmi nipo geita mkoa mpya Click to expand...
chaUkucha JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 3,382 Reaction score 1,214 Mar 12, 2014 #9 pembe za ndovu
M masagati JF-Expert Member Joined Oct 16, 2012 Posts 492 Reaction score 357 Mar 13, 2014 #10 Pole ndugu .sema huko cpajui inge kuwa Dar ningeweza kuku shauli
X xkamzy Member Joined Mar 27, 2011 Posts 61 Reaction score 11 Mar 14, 2014 #11 Fanya biashara ya Dagaa wa mwanza kwa kuwaleta dsm from mwanza