nifanye biashara gani mtwara?!

tinya

Member
Joined
Jan 4, 2010
Posts
77
Reaction score
30
Habari zenu wapendwa!

naomba niwaulize nnaweza kufanya biashara Mtwara au kati ya Mtwara na Dar?

Naomba mnisaidie plz?
 
Habari zenu wapendwa!

naomba niwaulize nnaweza kufanya biashara Mtwara au kati ya Mtwara na Dar?

Naomba mnisaidie plz?
mkuu jaribu kutoa maelezo ya kina, kwa maelezo yako watu watashindwa wakushauri nini, labda nikuulize unakiasi gani ? na unafanya kazi gani?
 
Korosho inalipa, waone Bodi ya Korosho, nunua bangua na kuuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…