T tinya Member Joined Jan 4, 2010 Posts 77 Reaction score 30 Mar 11, 2012 #1 Habari zenu wapendwa! naomba niwaulize nnaweza kufanya biashara Mtwara au kati ya Mtwara na Dar? Naomba mnisaidie plz?
Habari zenu wapendwa! naomba niwaulize nnaweza kufanya biashara Mtwara au kati ya Mtwara na Dar? Naomba mnisaidie plz?
Mani H Senior Member Joined Mar 25, 2011 Posts 180 Reaction score 46 Mar 11, 2012 #2 tinya said: Habari zenu wapendwa! naomba niwaulize nnaweza kufanya biashara Mtwara au kati ya Mtwara na Dar? Naomba mnisaidie plz? Click to expand... mkuu jaribu kutoa maelezo ya kina, kwa maelezo yako watu watashindwa wakushauri nini, labda nikuulize unakiasi gani ? na unafanya kazi gani?
tinya said: Habari zenu wapendwa! naomba niwaulize nnaweza kufanya biashara Mtwara au kati ya Mtwara na Dar? Naomba mnisaidie plz? Click to expand... mkuu jaribu kutoa maelezo ya kina, kwa maelezo yako watu watashindwa wakushauri nini, labda nikuulize unakiasi gani ? na unafanya kazi gani?
MAMA POROJO JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 4,974 Reaction score 785 Mar 12, 2012 #3 Korosho inalipa, waone Bodi ya Korosho, nunua bangua na kuuza