Mwanza wilaya ipi, nunua vifaa vya umwagiliaji lima kabeji utatumia 1500 000 kununua na kuzalish mpaka kuvuna utauza 2M. Hapo mtaji umerudi na vifaa nivyako utaendelea kwa mtaji wa laki3 hadi 4 na utavuna 2M. MAMBO SI NDO HAYO!! kama una zaidi uliza
duh! uko town kati. ngoja jamaa waje, ila kuna kipindi 2004 hapo ufukwen nyuma ya kiwanda cha bia ukitokea ufukwe wa place place walikuwa wanalima pia tena ukwa mbele kuvuka kiwanda cha bia