Greatthinker47
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 145
- 260
Waungwana naomba yeyote mwenye wazo la biashara Kwa MTAJI wa laki tano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fungua genge tafuta sehemu iliochangamka . kama mtaji ukikua tafuta matoroli na vijana hata watatu wa kukuuzia genge linalotembea mitaani kwahiyo hapo utakuwa na genge unalokaa mwnyw na magenge yanayotembea . (hiyo ndo biashara ninayoitamanu ila sina mtaj wana jf nuchangieni)Waungwana naomba yeyote mwenye wazo la biashara Kwa MTAJI wa laki tano
Waungwana naomba yeyote mwenye wazo la biashara Kwa MTAJI wa laki tano
Choma vipande vya kuku uuze .Waungwana naomba yeyote mwenye wazo la biashara Kwa MTAJI wa laki tano
Unapatikana wapi?fungua genge tafuta sehemu iliochangamka . kama mtaji ukikua tafuta matoroli na vijana hata watatu wa kukuuzia genge linalotembea mitaani kwahiyo hapo utakuwa na genge unalokaa mwnyw na magenge yanayotembea . (hiyo ndo biashara ninayoitamanu ila sina mtaj wana jf nuchangieni)
nipo DodomaUnapatikana wapi?
Chukua asali tabora nenda uuze mkoa uliopoDodoma mjini maeneo ya mipango
Dodoma mjini maeneo ya mipangoUnapatikana wapi?
Naomba namba zako...au naomba nitafte 0617528009Tafuta eneo la machinga.... (Nenda sehemu ilochangamka kama machinga complex)
Au tafuta chance kwenye minada,,, then niwe na kuagizia nguo kali za mtumba (nguo za kike) uwe unauza kwa Bei ya Dar. (Dodoma nimekaa Bei zao nazijua)
Utaenda maeneo ya chuo utauza nguo kali za kike kwa Bei ya 5k (mzigo ni grade A )
Kwahyo lazima zikulipe bro
Ntakuuzia kwa Bei ya jumla 3000 kwa pisi moja.. we utauza 5000 ila n nguo kali sana ambazo hata 8000 unaweza muuzia mtu
Au nikutumie mikoba ya mtumba...
Hapa ndo utawakamata wengi minadani maana hii product huwa adimu sana🤝
Waungwana naomba yeyote mwenye wazo la biashara Kwa MTAJI wa laki tan
Nenda karibu na kituo cha polisi nunua visungura (smartgin )uza za kupima buku buku utakuja kunishukuru ,wateja wapo utauzaWaungwana naomba yeyote mwenye wazo la biashara Kwa MTAJI wa laki tano
Yad ya mbao inatosha kwa laki 5?njoo huku ufungue yad ya mbao mafinga
mafinga Mkuunjoo huku ufungue yad ya mbao mafinga
Biashara ya kuuza matunda kwa wafanya kazi wa ofisi za uma.Waungwana naomba yeyote mwenye wazo la biashara Kwa MTAJI wa laki tano
KaribuUpo
mafinga Mkuu