Nifanye biashara gani naomba ushauri katika haya mazingira

Kutokana na uwepo wa migahawa mingi eneo hilo,nakushauri ufungue duka la nafaka kama mfuko utaruhusu. Hapo utakuwa na soko la uhakika kwa sababu mama ntilie hawanaga likizo kama ilivyo kwa wanafunzi. Kama utafungua biashara kwa kulenga wanafunzi ,uwe tayari kufunga frem siku za likizo au hata ukiamua kuacha basi ujue tu mauzo yatapungua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asante sana kwa ushauri
 
Watoto huwa wapenda sana ice cream na lamba lamba nadhani hiyo itafaa zaidi kwa maeneo hayo
 
hawa wanakaa dei hawaruhusiwi sim.afu kingine kipind matokeo yanatoka wanakuaga mbali
Mkuu hizo speculation ndio zinakukosesha fedha,hata bakhersa angefikiria kama wewe asitengenezea maandazi kisa mama mwajuma anapika maandazi na vitumbua mtaani,sijawahi kuona mwanafunzi wa form 1 hadi 6 hana simu,hizo zilikuwa enzi za mwalimu kipindi cha C25,A35 lakini sio kizazi hiki cha Tecno,itel...
 
Simple kama migahawa mingi maeneo hayo na makazi pia yapo karibu fungua genge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…