Nifanye nini ikiwa mtu kafungua akaunti ya Telegram kwa kutumia namba yangu?

Nifanye nini ikiwa mtu kafungua akaunti ya Telegram kwa kutumia namba yangu?

Reuben Challe

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
2,940
Reaction score
5,511
.
 

Attachments

  • Screenshot_20230210-155415.jpg
    Screenshot_20230210-155415.jpg
    36 KB · Views: 81
Simu ya mkononi ni mali ya mtu binafsi! Kwanza hilo likae akilini kwanza!


Chochote kinachoweza kutokea kutokana na namba yako ya simu ama kifaa chochote cha mawasiliano ambacho umewahi kumiliki, ukae ukijua 1st suspect ni wewe


Huyo mtu hawezi pata huduma mpaka a' verify acc ambapo wewe muhusika ulitakiwa ku conferm hizo codes ili app ipate utambulisho wako


Mazoea ya kuazimana simu ki zembe zembe gharama yake ni hiyo, hivyo ina dhihirisha hiyo simu yako hata uweke passcode ngapi ni useless kwa7bb wewe ni mzembe by origin ( niwie radhi )

Pia kupitia simu yako unaweza ukazuia hayo mawasiliano sio mpaka u report huku na kule
 
Simu ya mkononi ni mali ya mtu binafsi! Kwanza hilo likae akilini kwanza!


Chochote kinachoweza kutokea kutokana na namba yako ya simu ama kifaa chochote cha mawasiliano ambacho umewahi kumiliki, ukae ukijua 1st suspect ni wewe


Huyo mtu hawezi pata huduma mpaka a' verify acc ambapo wewe muhusika ulitakiwa ku conferm hizo codes ili app ipate utambulisho wako


Mazoea ya kuazimana simu ki zembe zembe gharama yake ni hiyo, hivyo ina dhihirisha hiyo simu yako hata uweke passcode ngapi ni useless kwa7bb wewe ni mzembe by origin ( niwie radhi )

Pia kupitia simu yako unaweza ukazuia hayo mawasiliano sio mpaka u report huku na kule
Nisaidie kivipi naweza kuzuia hayo mawasiliano kupitia simu yangu?
 
Alipataje otp code?
Uzembe mkubwa nilioufanya Jana kwa kuchukulia vitu rahisi rahisi ndio umefanya apate OTP code
Huyu jamaa alinifuata WhatsApp na alipokuja tu nikajua kuwa ni muongo/tapeli lakini ikabidi niact kama sijasuspect kitu chochote maana nilikuwa nataka kujua mbinu mbalimbali zinazotumiwa na watu wadanganyifu. Code zilipokuja hata sikuangalia kama ni OTP nikacopy tu ikatuma WhatsApp nione ataendeleaje kumbe ndio ilikuwa hatua ya mwisho. Nailifanya ujinga sana ila nimepata funzo
Next time nikiona nina mashaka na mtu kuwa ni mdanganyifu sina haja hata kujua ataendeleaje, nitamblock hapohapo maana sijui final step yake ni ipi
Screenshot_20230211-120804.jpg

Hizo code sikuzichukulia kama ni personal information. Nilifanya uzembe sana kisa tu kutaka kufuatilia na kujua nyendo zake
 
Uzembe mkubwa nilioufanya Jana kwa kuchukulia vitu rahisi rahisi ndio umefanya apate OTP code
Huyu jamaa alinifuata WhatsApp na alipokuja tu nikajua kuwa ni muongo/tapeli lakini ikabidi niact kama sijasuspect kitu chochote maana nilikuwa nataka kujua mbinu mbalimbali zinazotumiwa na watu wadanganyifu. Code zilipokuja hata sikuangalia kama ni OTP nikacopy tu ikatuma WhatsApp nione ataendeleaje kumbe ndio ilikuwa hatua ya mwisho. Nailifanya ujinga sana ila nimepata funzo
Next time nikiona nina mashaka na mtu kuwa ni mdanganyifu sina haja hata kujua ataendeleaje, nitamblock hapohapo maana sijui final step yake ni ipiView attachment 2513495
Hizo code sikuzichukulia kama ni personal information. Nilifanya uzembe sana kisa tu kutaka kufuatilia na kujua nyendo zake
Mh! Nikama Ulijua kweli Unapata Hicho kitu
 
Uzembe mkubwa nilioufanya Jana kwa kuchukulia vitu rahisi rahisi ndio umefanya apate OTP code
Huyu jamaa alinifuata WhatsApp na alipokuja tu nikajua kuwa ni muongo/tapeli lakini ikabidi niact kama sijasuspect kitu chochote maana nilikuwa nataka kujua mbinu mbalimbali zinazotumiwa na watu wadanganyifu. Code zilipokuja hata sikuangalia kama ni OTP nikacopy tu ikatuma WhatsApp nione ataendeleaje kumbe ndio ilikuwa hatua ya mwisho. Nailifanya ujinga sana ila nimepata funzo
Next time nikiona nina mashaka na mtu kuwa ni mdanganyifu sina haja hata kujua ataendeleaje, nitamblock hapohapo maana sijui final step yake ni ipiView attachment 2513495
Hizo code sikuzichukulia kama ni personal information. Nilifanya uzembe sana kisa tu kutaka kufuatilia na kujua nyendo zake
Hahaha dah shida kweli
 
Uzembe mkubwa nilioufanya Jana kwa kuchukulia vitu rahisi rahisi ndio umefanya apate OTP code
Huyu jamaa alinifuata WhatsApp na alipokuja tu nikajua kuwa ni muongo/tapeli lakini ikabidi niact kama sijasuspect kitu chochote maana nilikuwa nataka kujua mbinu mbalimbali zinazotumiwa na watu wadanganyifu. Code zilipokuja hata sikuangalia kama ni OTP nikacopy tu ikatuma WhatsApp nione ataendeleaje kumbe ndio ilikuwa hatua ya mwisho. Nailifanya ujinga sana ila nimepata funzo
Next time nikiona nina mashaka na mtu kuwa ni mdanganyifu sina haja hata kujua ataendeleaje, nitamblock hapohapo maana sijui final step yake ni ipiView attachment 2513495
Hizo code sikuzichukulia kama ni personal information. Nilifanya uzembe sana kisa tu kutaka kufuatilia na kujua nyendo zake
Hapa ndipo ulipokosea, kashafanya settings za ac katoa namba kupokea changes zozote na kuweka hiyo email yake. Wasiliana na Telegram uwaelezee vizuri maana OTP ndio kila kitu.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umeingia kingi kizembe sana, acha tamaa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Njia nzuri ya kujifunza ni kupitia experience, tangu Jana najilaumu sana nilivyoingizwa mjini kizembe. Nilijiona mjanja kutaka kujua mwisho wake. Sasahivi naomba tu msaada kisa uzembe wangu. Nina hamu sana na magroup ya movie ya Telegram ila hii issue ndio inanikera hadi sasahivi.
Akifanya uhalifu atajijua mwenyewe ila ananichelewesha kupata burudani huyu kenge, bora hata angekuwa Mbongo[emoji23][emoji23]
 
Hapa ndipo ulipokosea, kashafanya settings za ac katoa namba kupokea changes zozote na kuweka hiyo email yake. Wasiliana na Telegram uwaelezee vizuri maana OTP ndio kila kitu.
Huko Telegram sijui itachukua muda gani kunijibu naona kama wanapuuzia tu, I wish kungekuwa na namba ya kuwasiliana nao au direct way to contact them.
Hivi account ikishakuwa reset inakuwaje unaweza kunisaidia. Sasahivi zimebaki siku 6 account iwe reset sijui kama itasaidia
Screenshot_20230211-135522.jpg
 
Huko Telegram sijui itachukua muda gani kunijibu naona kama wanapuuzia tu, I wish kungekuwa na namba ya kuwasiliana nao au direct way to contact them.
Hivi account ikishakuwa reset inakuwaje unaweza kunisaidia. Sasahivi zimebaki siku 6 account iwe reset sijui kama itasaidia
View attachment 2513597
Vumilia 6 days lakini jamaa akiona hiyo alert anaweza kucancel na kama akirequest option ambayo itahitaji OTP na zikatumwa kwake kwa comfirmation itakua changamoto sana kwako.
 
Uzembe mkubwa nilioufanya Jana kwa kuchukulia vitu rahisi rahisi ndio umefanya apate OTP code
Huyu jamaa alinifuata WhatsApp na alipokuja tu nikajua kuwa ni muongo/tapeli lakini ikabidi niact kama sijasuspect kitu chochote maana nilikuwa nataka kujua mbinu mbalimbali zinazotumiwa na watu wadanganyifu. Code zilipokuja hata sikuangalia kama ni OTP nikacopy tu ikatuma WhatsApp nione ataendeleaje kumbe ndio ilikuwa hatua ya mwisho. Nailifanya ujinga sana ila nimepata funzo
Next time nikiona nina mashaka na mtu kuwa ni mdanganyifu sina haja hata kujua ataendeleaje, nitamblock hapohapo maana sijui final step yake ni ipiView attachment 2513495
Hizo code sikuzichukulia kama ni personal information. Nilifanya uzembe sana kisa tu kutaka kufuatilia na kujua nyendo zake
Mtu yupo UK anataka akupe MB 5000 wewe upo Tanzania?

I'm sure hata shule ulienda. Hii ni simple reasoning, utapeli from the first sms she sent to you.
 
Uzembe mkubwa nilioufanya Jana kwa kuchukulia vitu rahisi rahisi ndio umefanya apate OTP code
Huyu jamaa alinifuata WhatsApp na alipokuja tu nikajua kuwa ni muongo/tapeli lakini ikabidi niact kama sijasuspect kitu chochote maana nilikuwa nataka kujua mbinu mbalimbali zinazotumiwa na watu wadanganyifu. Code zilipokuja hata sikuangalia kama ni OTP nikacopy tu ikatuma WhatsApp nione ataendeleaje kumbe ndio ilikuwa hatua ya mwisho. Nailifanya ujinga sana ila nimepata funzo
Next time nikiona nina mashaka na mtu kuwa ni mdanganyifu sina haja hata kujua ataendeleaje, nitamblock hapohapo maana sijui final step yake ni ipiView attachment 2513495
Hizo code sikuzichukulia kama ni personal information. Nilifanya uzembe sana kisa tu kutaka kufuatilia na kujua nyendo zake
A! Pole sana! Nilihisi tangu mwanzo ni kosa la uzembe! Ila ndio shule! Vipi kama hiyo namba ukaenda tigo ukataka waisitishe kwa shughuli zozote za mawasiliano!!?


Hawa jamaa hua wanazitumia kwenye utapeli mpaka nchi zingine, kama m1 wa watakao tapeliwa ama wakianza kuzifuatilia ukae ukijua uatapata kesi kama ya yule m'nijeria H_ PAPI
 
A! Pole sana! Nilihisi tangu mwanzo ni kosa la uzembe! Ila ndio shule! Vipi kama hiyo namba ukaenda tigo ukataka waisitishe kwa shughuli zozote za mawasiliano!!?


Hawa jamaa hua wanazitumia kwenye utapeli mpaka nchi zingine, kama m1 wa watakao tapeliwa ama wakianza kuzifuatilia ukae ukijua uatapata kesi kama ya yule m'nijeria H_ PAPI
Nitajaribu kufuata ushauri huu siku 6 zikipita, Asante sana
Ila kuhusu kesi hata nikasingiziwa nitapewaje hukumu bila ushahidi? Lazima nitajitetea na list of evidences na nitahakikisha aliyehusika ndio anawajibishwa sio Mimi. Lakini shida ni magroup ya movie, ndio jambo linaloninyima raha. Natamani sana nijiunge magroup ya movie ya Telegram kupitia namba hiyo lakini jamaa kaniibia haki yangu
 
Back
Top Bottom