Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
umeona eeh! A friend of mine alivishwa pete, mara akagundua jamaa ana mtoto nje na akuwahi kumwambia, bidada akaona hakuna shida maana mtoto alizaliwa kabla hawajawa wapenzi. Heee!, baada ya muda akagundua katoto kengine tena hako kalizaliwa wakati penzi lao lipo moto moto. Dah, wanaume wabaya jamani.
Nampenda sana huyu msichana <mwanamke> lakini kila ninachofanya naona yeye hana imani na mimi............nimemvisha pete,lakini bado anahsi nitamuacha.....tatizo ni kuwa ANAHISI IPO SIKU NITAMUACHA NA KUWA NA MPENZI MWINGINE...
Nifanye nini wajameni....i lv this gal...
aaasalalaaa! Kwa hiyo huyo dada aliendelea tena kuvumilia ili aletewe tena kengine au??
Nampenda sana huyu msichana <mwanamke> lakini kila ninachofanya naona yeye hana imani na mimi............nimemvisha pete,lakini bado anahsi nitamuacha.....tatizo ni kuwa ANAHISI IPO SIKU NITAMUACHA NA KUWA NA MPENZI MWINGINE...
Nifanye nini wajameni....i lv this gal...
alisamehe kwa sababu mtoto alizaliwa kabla hajajuana na mshkaji na jamaa nae akijielezea vya kutosha. Huyo wa pili ilikuwa ngumu maana ilionyesha jamaa sio mwaminifu kabisa.
Nyie wote MATAPELINampenda sana huyu msichana <mwanamke> lakini kila ninachofanya naona yeye hana imani na mimi............nimemvisha pete,lakini bado anahsi nitamuacha.....tatizo ni kuwa ANAHISI IPO SIKU NITAMUACHA NA KUWA NA MPENZI MWINGINE...
Nifanye nini wajameni....i lv this gal...
Pete kitu gan bwana. Watu wanaoana leo kesho wanaachana. Kama hakuamin mpe ukweli kwa sababu huwez kuwa mtu wa mashaka daily . Kama anaendelea tafuta mwingine mabinti wapo wengi mkuu
Nampenda sana huyu msichana <mwanamke> lakini kila ninachofanya naona yeye hana imani na mimi............nimemvisha pete,lakini bado anahsi nitamuacha.....tatizo ni kuwa ANAHISI IPO SIKU NITAMUACHA NA KUWA NA MPENZI MWINGINE...
Nifanye nini wajameni....i lv this gal...
mkuu inaonesha dhahiri umeshaharibu saana ndo mana hata ka umejirekebisha hana imani hata kidogo
Hamuaniniki nyie wanaume, wazuri sana kwa kutoa maneno matamu kutoka midomoni mwenu lakini si matendo. Kumvisha pete siyo kigezo cha kudhiirisha unampenda na utamwacha.
Kwanza tafuta izo sababu zinazo mfanya asikuamini, ukishazipata, anza kuzitatua moja moja. Mbona atakuamini tu.
Kuna watu huwa hata wenyewe hawajiamini, sembuse kuamini mtu?