That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Kwa jinsi mashamba ya kule yalivyo makubwa na ni porini, hata akipiga jingine ni ngumu kutambua.labda ungekua unamwambia akutumie picha ya kila step kupanda, kupalilia , kuvuna nk atleast uwe unajua kafikia wapi.
Mie ni mkorofi wa chini chini, we muulize tu KaruceePolee au alikuona gentleman huna makuu? Mi sijui ningemfanyaje aisee ningemng'ata pua
Duh pole !watu si waamnifu, unampa mchongo anazingua, usipompa atasema bro hunipi mchongo ndugu yakoπKwa jinsi mashamba ya kule yalivyo makubwa na ni porini, hata akipiga jingine ni ngumu kutambua.
Mie ni mkorofi wa chini chini, we muulize tu Karucee
Sema hapo ilikuwa tu ni siku yangu ya kupigwa...
Waaminifu ni wachache sana.Duh pole !watu si waamnifu, unampa mchongo anazingua, usipompa atasema bro hunipi mchongo ndugu yakoπ
Ok ikiwa ni karibu ni nzuri maaana utaweza kutembelea na kufahamu progress π safari hii the future is promising..ukipigwa tena basi sasaππWaaminifu ni wachache sana.
Nataka nijaribu kubet tena, awamu hii nimepata karibu (about 50km kutoka hapa nilipo)
Labda jua ndiyo awe mwizi wangu hapa. πukipigwa tena basi sasaππ
Dah inshallah! Jua naye hawezi kukuibia basi mambo yatakua poa! Naomba kamwaliko wakati wa mavuno please..πLabda jua ndiyo awe mwizi wangu hapa. π
Kazi za kilimo ni ngumu bibie, we wa mjini huziwezi ...Dah inshallah! Jua naye hawezi kukuibia basi mambo yatakua poa! Naomba kamwaliko wakati wa mavuno please..π
Mi ni wa kijijini sana tu mkuu na kilimo ndiyo tunakitegemea, so ntakuja kazini kweli si tour πKazi za kilimo ni ngumu bibie, we wa mjini huziwezi ...
Au unataka uwe supervisor? π au uje kupiga tourπ€
Karibu sana financial services ....muda ukifika nitakucheki