Nifanye nini ili nisichanike wakati wa kujifungua

Veronica7598

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2017
Posts
361
Reaction score
408
Habari zenu wapendwa.

Bila kupoteza muda naomba ushauri wenu humu ndani.

Tatizo nililo nalo wakati najifungua mtoto wangu wa kwanza niliumwa uchungu mkali sna kwa muda mrefu kama siku 2 hivi bila kupumzika wala kukata mpaka nikawekewa drip ya uchungu, na baadae njia ikafunguka nikajifungua vizuri tu, ila sasa mtoto alitoka akiwa na kilo 4 na alinichana sana kiasi kwamba nilishonwa nyuzi za kutosha, halafu ndio mimba Yangu ya kwanza.

1) Sasa hivi ni mjamzito tena, naomba ushauri nifanye nn ili nisiumwe kwa muda mrefu na uchungu.

2)Nifanye nini ili nisichanike wakati wa kujifungua.

Nawasilisha..
 
nenda hospitali ya maana (if possible pale ulipojifungulia mwanzo maana wana data zako) then onana na gynaecologist mwelezee vizuri shida yako then utakua kwenye mikono salama
 
Mwacheni Mungu tumtukuze jamani na uchungu wote huo ulirudia ule mchezoo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…