Nifanye nini ili niweze kujiunga na jeshi?

Nifanye nini ili niweze kujiunga na jeshi?

Mimi ni kijana Mtanzania nimekubali kwa thati ya moyo wangu kuingia jeshini ila sijui utaratibu wakuweza kuingia huko mwenye connection au atakae weza kunipa msaada wakunifanikisha kujiunga na jeshi Mimi niko tayari kuingia huko naombeni msaada wenu wakuu.

Elimu yangu nimeishia level ya Certificate in clinical medicine yani clinical assistant (afisa tabibu msaidizi)

No: 0621473450
Kuna mtu alikuwa anahitaji mtu wa fani yako kazini kwao. Yupo na shirika fulani la waswedeni mkuu siwezi kukuunganisha kweli.
 
Kuna mtu alikuwa anahitaji mtu wa fani yako kazini kwao.
Yupo na shirika fulani la waswedeni mkuu siwezi kukuunganisha kweli.
Ni saidie mkuu sana nitashukuru sana

Mawasiliano yangu ndio haya:: voda 0754608893

Halotel: 0621473450
 
Mimi ni kijana Mtanzania nimekubali kwa thati ya moyo wangu kuingia jeshini ila sijui utaratibu wakuweza kuingia huko mwenye connection au atakae weza kunipa msaada wakunifanikisha kujiunga na jeshi Mimi niko tayari kuingia huko naombeni msaada wenu wakuu.

Elimu yangu nimeishia level ya Certificate in clinical medicine yani clinical assistant (afisa tabibu msaidizi)

No: 0621473450
Mpaka hapa na kwa haya Maelezo yako huna Sifa za Kujiunga na Jeshi kwani hutaki Kujiunga kwa kufuata taratibu na badala yake unataka Kuingia huko kwa 'Connection' na hata kuwa tayari 'Kuhonga' kwa watakaokusaidia.

Ushauri wangu Kwako kama Kijijini Kwenu kuna Mashamba tafadhali rudi huko ukaanze Kulima ambapo naamini utapata Kipato kizuri tu na Maisha yako yataenda vyema kikubwa ni Kujipanga na Kujiamini.
 
Ikumbukwe kuwa jeshi ni la wananchi....na jukumu la kuilinda nchi yetu ni la kwetu wote ama ni la kila mwananchi, hivyo mimi na wewe ni walinzi wa usalama wa kwanza wa taifa letu...linapokuja swala la kuitumikia sasa nchi kwenye sekta hizo kna vigezo ambavyo hwa vinabadilika kulingana na mahitaji...kwa kawaida kila mwezi wa 6 ama wa 10 huwa kuna nafasi zinatangazwa za kujiunga na jkt, ambako kwa wewe unatakiwa uanze nako...ukifanikiwa kujiunga na jkt mambo mengine utaendelea kuyapata ukiwa huko.

Jeshi siku hizi imekuwa kama bahati chamsingi fanya mambo yako mengine huku ukiwa unafatilia lakini usiache mambo yako mengine ya msingi kwakuwa tu tegemeo lako umeliweka kwenye jeshi...

Jeshi ni mguu sio nguvu hivyo ukiwa unajiandaa kufanya usaili wa jeshi ama jkt nakushauri anza mazoezi ya kukimbia na kichura chura ili kuipa nguvu miguu...jitahidi uwe unakunywa maii mengi...vile vile usisahau kuitunza afya yako...maana jeshini huwa awachukui watu goi goi...afya kwanza mengine yatafuata.
 
Mpaka hapa na kwa haya Maelezo yako huna Sifa za Kujiunga na Jeshi kwani hutaki Kujiunga kwa kufuata taratibu na badala yake unataka Kuingia huko kwa 'Connection' na hata kuwa tayari 'Kuhonga' kwa watakaokusaidia.

Ushauri wangu Kwako kama Kijijini Kwenu kuna Mashamba tafadhali rudi huko ukaanze Kulima ambapo naamini utapata Kipato kizuri tu na Maisha yako yataenda vyema kikubwa ni Kujipanga na Kujiamini.
Simanishi connection ya kuungwa jeshi namanisha mtu anielekeze taratibu zipi za kufata ni fike huko siendi kwa sababu ya maslahi naenda kwa sababu napenda ila kutokana na changamoto ya maisha nikwa nimetoka kwenye mstari wa leongo langu hilo nikaacha kufatilia mambo ya jeshi sasa ndoto yangu hiyo imenirudia ndio maana nimekuja kuwaomba wadua wanipe Maelezo ya namna gani kufika huko ,,tatizo mkuu connection we unaweza nimtu kukuunga huko bira taraatibu ila pia nashukulu kwa ushauri wako nitaufanyia kazi hapo mashamba mpaka kukodi ardhi hakuna
 
ikumbukwe kuwa jeshi ni la wananchi....na jukumu la kuilinda nchi yetu ni la kwetu wote ama ni la kila mwananchi, hivyo mimi na wewe ni walinzi wa usalama wa kwanza wa taifa letu...linapokuja swala la kuitumikia sasa nchi kwenye sekta hizo kna vigezo ambavyo hwa vinabadilika kulingana na
Nashukuru mkuu, ila samahan hua wanatangaza kupitia website zao? Au kupitia vyombo vya habari.
 
Ok thanks naanzaje au nafata utaratibu upi mkuu
Umechelewa kusema, juz juz nilienda kwa mkuu wa wilaya vijana walikuwa wanafanya mipango, nenda kwenye ofisi za mkuu wa wilaya kaulize michakato hata kwa kipind kingine.
 
Umechelewa kusema, juz juz nilienda kwa mkuu wa wilaya vijana walikuwa wanafanya mipango, nenda kwenye ofisi za mkuu wa wilaya kaulize michakato hata kwa kipind kingine.
Asante mkuu
 
Watatangaza tena nafasi labda mwakani
Muhimu.JKT haiajiri sio unakwenda kwa kujifanya mzalendo afu mkataba ukiisha unaanza kulalama
 
Kwanza mtangulize Mungu ,fanya maombi sana utafanikiwa...kiukweli mimi Mungu kanitendea maajabu nimefanikiwa mahali ambapo nilikuwa nimekata tamaa kabisa...(I am living the witness)

Pia uwe unasema mwenye taarifa za kunisaidia kujiunga anipe usitumie neno connection inakuwa kama unapitia njia za panya...

Nakutakia kila la heri uwe unatembelea kwa Mkuu wa wilaya afu ulizia utaratibu ...wambie na fani yako yaani utapata tu ,tena kwa watu wenye professions kama walimu,tabibu,accountants n.k huwa hawahitaji wawe wamepitia JKT , hiyo fani ni dili

La mwisho usipende kuweka mawasiliano yako public isipokuwa mpaka umepata mtu anayeelekea ndipo umtumie DM mawasiliano,kuna watu wengine wanaweza kutumia mawasiliano yako kukurubuni
 
Kwanza mtangulize Mungu ,fanya maombi sana utafanikiwa...kiukweli mimi Mungu kanitendea maajabu nimefanikiwa mahali ambapo nilikuwa nimekata tamaa kabisa...(I am living the witness)

Pia uwe unasema mwenye taarifa za kunisaidia kujiunga anipe usitumie neno connection inakuwa kama unapitia njia za panya...

Nakutakia kila la heri uwe unatembelea kwa Mkuu wa wilaya afu ulizia utaratibu ...wambie na fani yako yaani utapata tu ,tena kwa watu wenye professions kama walimu,tabibu,accountants n.k huwa hawahitaji wawe wamepitia JKT , hiyo fani ni dili

La mwisho usipende kuweka mawasiliano yako public isipokuwa mpaka umepata mtu anayeelekea ndipo umtumie DM mawasiliano,kuna watu wengine wanaweza kutumia mawasiliano yako kukurubuni
Asante mkuu nashukuru sana
 
Back
Top Bottom