Nifanye nini ili niweze kupata kipato cha ziada nimudu gharama za masomo?

Nifanye nini ili niweze kupata kipato cha ziada nimudu gharama za masomo?

Joined
Jun 28, 2021
Posts
5
Reaction score
1
Mimi ni mwanafunzi wa Degree mwaka wa kwanza chuo kikuu cha Ushirika Moshi. Ni mnufaika wa mkopo kutoka Board ya mikopo lakini nalipiwa laki 4 tyuu kwenye ada ya masomo ambayo jumla ni Milioni 1 laki 1 Sina support kutoka uoande mwingine wowote Je nifanyeje niweze kukidhi mahitaji ya ada inayobaki kujilipia na niweze kufanya saving kwaajili ya baadaeeee........[emoji122][emoji122][emoji120][emoji120]
 
Mimi ni mwanafunzi wa Degree mwaka wa kwanza chuo kikuu cha Ushirika Moshi. Ni mnufaika wa mkopo kutoka Board ya mikopo lakini nalipiwa laki 4 tyuu kwenye ada ya masomo ambayo jumla ni Milioni 1 laki 1 Sina support kutoka uoande mwingine wowote Je nifanyeje niweze kukidhi mahitaji ya ada inayobaki kujilipia na niweze kufanya saving kwaajili ya baadaeeee........[emoji122][emoji122][emoji120][emoji120]View attachment 2261239
Kwa nini usiende board ya mkopo ukaomba kuongezewa
 
Na sio hiyo picha tu, huyu ana mambo ya kike, msomi wa CHUO anaandika " tyuu " badala ya ' tu '

Ndii maana hata board wamempa pesa kulingana na akili yake

Haileti maana na hayupo makini na mambo yake ya msingi atajua baadaye
Ndio maana kijana anaomba ushauri asaidiwe wazo kutokana na mada aliyoileta, maybe amekosea kuandika "tyuu" instead ilitakiwa kuwa tu. Hiyo sio sababu ya kumlaumu mpaka useme msomi wa chuo anaandika hivi.

Mbona wewe umeandika "Ndii" badala ya "Ndio" tukulaumu kwamba haujasoma? [emoji848][emoji848]
 
Na sio hiyo picha tu, huyu ana mambo ya kike, msomi wa CHUO anaandika " tyuu " badala ya ' tu '

Ndii maana hata board wamempa pesa kulingana na akili yake

Haileti maana na hayupo makini na mambo yake ya msingi atajua baadaye
Ok thans alot nakili nimekosea kuandika tyuu badala ya tu lakini typing error zipo tu maana hata wewe ushaandika NDII Badala ya NDIO kwahiyo tuseme una mambo ya kike siyo?????
 
Ndio maana kijana anaomba ushauri asaidiwe wazo kutokana na mada aliyoileta, maybe amekosea kuandika "tyuu" instead ilitakiwa kuwa tu. Hiyo sio sababu ya kumlaumu mpaka useme msomi wa chuo anaandika hivi.

Mbona wewe umeandika "Ndii" badala ya "Ndio" tukulaumu kwamba haujasoma? [emoji848][emoji848]
Asante sana mkuu wakati najiunga hii forum nilitarajia nitakutana na watu waelewa na wenye msimamo wa mabadiliko makubwa kwa jamii na taifa kwa ujumlaa kama wewe bro lkn nishaona kumbe hadi huku wasokuwa na utashi wapo badala mtu akukosoee na kukushaurii anatupa madongo tuu
..........
 
Kama unaweza kukaza akili ,
Uza laptops kupitia wauzaji wakubwa (kuwa middlemen)
Point mtumba mzuri wa viatu maimoria utauza bei nzuri sana kwa hapo chuoni,
Pia kama una pc tafuta printer
 
Back
Top Bottom