Nifanye nini kufaidika na kipaji changu cha digital designing?

Nifanye nini kufaidika na kipaji changu cha digital designing?

Fxon

Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
7
Reaction score
7
Wakuu nahitaji ushauri na pia maoni kuhusu hili,

Naitwa Eliud Novat naishi Dar es Salaam. Nina ujuzi wa kutengeneza logo na napenda sana digital designing lakini tangu nijue nina huo utaalamu sijawahi kufaidika chochote na kipaji hicho.

Je, nawezaje kukitumia kipaji hiki iwe fursa ya mafanikio yangu? Naamini kuna watu kama mimi wameelewa namaanisha nini.

Nina ujuzi wa photos editing, logo designing, videos editing na mambo yanayohusiana na hayo na mara nyingi huwa natumia vifaa dhaifu sana kufanya kazi hizo.

Mfano wa kazi zangu chini:

20221027_012033.png

Kuna kazi nyingi sana huwa nafanya.

Please wakuu nahitaji msaada wenu sana kujua ni nini nifanye niweze kutumia kazi hii kama fursa ya kujipatia kipato na kama na nifuate taratibu zipi na gharama kiasi gani?


20221031_000137.png
 

Attachments

  • 20221031_000137.png
    20221031_000137.png
    119.3 KB · Views: 11
Mdogo wangu huku ulipoingia watu wengi ni matajiri hawana muda wa kuwashauri vijana wa aina ya picha uzoweka hapo.
 
Wakuu nahitaji ushauri na pia maoni kuhusu hili,

Naitwa Eliud Novat naishi Dar es Salaam. Nina ujuzi wa kutengeneza logo na napenda sana digital designing lakini tangu nijue nina huo utaalamu sijawahi kufaidika chochote na kipaji hicho...
Ni kwambie jiunge Twitter alafu follow space ya ajira naonaga watu wengi wanataka izo alafu pia io ni skill kama huku mtaani haikulipi nenda upwork fungua profile pale weka description zako vizuri alafu fatilia kuapply gigs watu wanatakaga kama nyie
 
Wakuu nahitaji ushauri na pia maoni kuhusu hili,

Naitwa Eliud Novat naishi Dar es Salaam. Nina ujuzi wa kutengeneza logo na napenda sana digital designing lakini tangu nijue nina huo utaalamu sijawahi kufaidika chochote na kipaji hicho.

Je, nawezaje kukitumia kipaji hiki iwe fursa ya mafanikio yangu? Naamini kuna watu kama mimi wameelewa namaanisha nini.

Nina ujuzi wa photos editing, logo designing, videos editing na mambo yanayohusiana na hayo na mara nyingi huwa natumia vifaa dhaifu sana kufanya kazi hizo.

Mfano wa kazi zangu chini:


Kuna kazi nyingi sana huwa nafanya.

Please wakuu nahitaji msaada wenu sana kujua ni nini nifanye niweze kutumia kazi hii kama fursa ya kujipatia kipato na kama na nifuate taratibu zipi na gharama kiasi gani?


Ingia fiverr tengeneza profile weka kazi zakona packages mbalimbali za bei kutokana na huduma
 
Kaka me nataka unifundishe nirithi hio akili yako ya kipaji
 
Ingia fiverr tengeneza profile weka kazi zakona packages mbalimbali za bei kutokana na huduma
Nakazia aliposema mkuu Jaribu kwa Fiverr na Upwork uangaalie platform ipi itakufaa zaidi na kikubwa lugha iwe inapanda, ukiwa unajua kimalkia itakuwa rahisi kwako,

Hata ukichelewa kutengeneza pesa don’t stop, keep on pushing
 
Mkuu samahani kwa kuuliza wewe pia ulipitia hizo step kuweza kumaster hiyo skill
Mkuu mimi sio master wa graphics lakini ni master wa vitu basics. Naweza tengeneza logos, cards, banners almost kila kitu kwa matumizi yangu ya kawaida ila nikitaka kitu professional kabisa uwa nalipa mtaalam anifanyie. Ila kwa shughuli zangu za kawaida za kila siku za kumanipulate vitu nafanya.
Asilimia 98% ya vitu nnavyovijua nmejifundisha mwenyewe kupitia youtube na kusoma notes mtandaoni.
1. Adobe illustrator
2. Photoshop
3. Audio mixing
3. Mastering kidogo
4. Subtitling
5. Programming kwa kiasi kidogo sana
6. Htm na css
Na mambo mengine ambayo ndiyo yananiweka mjini ni youtube na internet ndio imenifunza.
So chukua muda jifunze huko
 
Mkuu mimi sio master wa graphics lakini ni master wa vitu basics. Naweza tengeneza logos, cards, banners almost kila kitu kwa matumizi yangu ya kawaida ila nikitaka kitu professional kabisa uwa nalipa mtaalam anifanyie. Ila kwa shughuli zangu za kawaida za kila siku za kumanipulate vitu nafanya.
Asilimia 98% ya vitu nnavyovijua nmejifundisha mwenyewe kupitia youtube na kusoma notes mtandaoni.
1. Adobe illustrator
2. Photoshop
3. Audio mixing
3. Mastering kidogo
4. Subtitling
5. Programming kwa kiasi kidogo sana
6. Htm na css
Na mambo mengine ambayo ndiyo yananiweka mjini ni youtube na internet ndio imenifunza.
So chukua muda jifunze huko
Sawasawa nimeelewa
 
Kuna kazi nyingi sana huwa nafanya.

Please wakuu nahitaji msaada wenu sana kujua ni nini nifanye niweze kutumia kazi hii kama fursa ya kujipatia kipato na kama na nifuate taratibu zipi na gharama kiasi gani?
Ongeza juhudi mkuu alafu Color mixing jifunze zaidi, tone za colors kuna ambazo hua haziendani mfano hio logo ya kwanza umemix rangi 3 red, white and black hapo ungeweka 2 tu ingevutia zaidi na hio shadow usingeweka kabisa ingevutia zaidi,

Niseme tu una mengi ya kujifunza ingia IG au YouTube mtafute Jamaa anaitwa Rich Star huyu mwamba ndie aliebuni logo ya Tigo unayoiona utajifunza mengi kutoka kwake ni designer pia ni Videographer
 
Back
Top Bottom