Trab-Trat
Member
- Oct 2, 2022
- 20
- 29
Nipo kwa hard time sana my business is about to die loooh[emoji22]
Biashara ilikuwa poa tu ila kuna namna ilizidiwa na matumizi (kuna kipindi cha uhitaji mkubwa nilipitia) the same time ina mkopo nimerejeresha miezi saba kila mwezi narejesha 450k
Tatizo kubwa nimeishiwa bidhaa nyingi, hii kupelekea mauzo kushuka sana ila wateja wapo
#Pls advise nifanyeje kuikoa biashara yangu
Biashara ilikuwa poa tu ila kuna namna ilizidiwa na matumizi (kuna kipindi cha uhitaji mkubwa nilipitia) the same time ina mkopo nimerejeresha miezi saba kila mwezi narejesha 450k
Tatizo kubwa nimeishiwa bidhaa nyingi, hii kupelekea mauzo kushuka sana ila wateja wapo
#Pls advise nifanyeje kuikoa biashara yangu