Najua ni wapi nilipokoseaIt seems like, hauko vizuri kwny ku balance matumizi yako (nidhamu ya fedha) and this is according to your story, Mungu akikusaidia ukasimama tena usirudie hili kosa!
jinsi ulivyowananga watu wa dar! kwani ulipoweka uzi uliwakusudia watu wa wapi?Watu wa Dar buana janja janja nyingiii
Wee jamaa.....Kadange tu uongezee mtaji