Shozylin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 341
- 699
Wakuu habari za mida hii.?
Naamini kuna nguvu ya mapinduzi kutoka kwenye mawazo za watu (ideas)
"Wazo" Mungu akasema na tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu " vyote tuvionavyo vimetokana na mawazo ya Watu.
Wewe hua unafanya Nini pale unapo kua na idea flan kubwa ya biashara na ukashindwa kutimiza kutokana na kukosa mtaji wezeshi.?
Kwa upande wangu hapa idea yangu si ngeni inafanywa na watu na baadhi yao wamejaribu sjui matokeo yao.
Kwa upande wangu nimewaza namna ya kuiendesha kwa utofauti kidogo.
Bahati mbaya ili idea hii itimie inahitaji taaruma ya mtu (IT) nami Sina mtaji
Ipo hivi idea yangu ni kutengeneza application ya uuzaji na ununuzi wa bidhaa "online" naskia kuna jamaa hapa tz aliwahi kutengeneza yake inaitwa "kupatana"
Sasa idea yangu inafanana na hii ila mbinu za uendeshaji hapa ndipo tutakapo tofautiana.
Vifaa vinavyo hitajika ni laptop yenye uwezo wa kusave data pamona na gharama ya utengenezeji wa hii application.
Ila hapa nilipo Sina pesa ya kutosha kuwezesha hili wazo langu liwe katika uharisia. Nifanyeje ili litimie.?
Nakaribisha mutu aje aje nishee naye hii idea akiona inafaa tuifanyie kazi.
Naamini kuna nguvu ya mapinduzi kutoka kwenye mawazo za watu (ideas)
"Wazo" Mungu akasema na tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu " vyote tuvionavyo vimetokana na mawazo ya Watu.
Wewe hua unafanya Nini pale unapo kua na idea flan kubwa ya biashara na ukashindwa kutimiza kutokana na kukosa mtaji wezeshi.?
Kwa upande wangu hapa idea yangu si ngeni inafanywa na watu na baadhi yao wamejaribu sjui matokeo yao.
Kwa upande wangu nimewaza namna ya kuiendesha kwa utofauti kidogo.
Bahati mbaya ili idea hii itimie inahitaji taaruma ya mtu (IT) nami Sina mtaji
Ipo hivi idea yangu ni kutengeneza application ya uuzaji na ununuzi wa bidhaa "online" naskia kuna jamaa hapa tz aliwahi kutengeneza yake inaitwa "kupatana"
Sasa idea yangu inafanana na hii ila mbinu za uendeshaji hapa ndipo tutakapo tofautiana.
Vifaa vinavyo hitajika ni laptop yenye uwezo wa kusave data pamona na gharama ya utengenezeji wa hii application.
Ila hapa nilipo Sina pesa ya kutosha kuwezesha hili wazo langu liwe katika uharisia. Nifanyeje ili litimie.?
Nakaribisha mutu aje aje nishee naye hii idea akiona inafaa tuifanyie kazi.