Nifanye nini mke wangu arudi?

Jeshini mnaripoti lini?
 
Kwa uandishi huo usioeleweka na kushindwa kujieleza, ana haki ya kukukataa!
 
Nenda kwa mganga ukampige mikosi asiolewe na yeyote.
 
We na huyo mkeo aliyekuacha mlibarikiwa kupata watoto wanggapi? Na ndoa yenu ilikuwa na miaka mingapi?
 
Thamani ya mke ni kubwa kuliko huko uliko mzee. Sisi tulio oa tunijua hilo.

Unachotakiwa urudi uyajenge na mkeo. Ila huwa mnawezaje kukaa mbali na wake zenu muda mrefu ?
 
Sasa apo kwenye kumuacha ndo na jikuta siwezi kabisa

Yaani na jaribu kujifosi kumsau mpaka nime tongoza rafiki yake ime shindikana yaani

Yaani sijuwi ni tumie jia gani
Kama ni mkeo,si mshenga yupo!?Mwambie kisa kizima,Atakupa ushauri.
 
Move on it’s over .Kwanza umejaribu wanawake wengine your disgusting and I’m glad she drop you like a hot potato .
 
Mkeo ana experience na relationship wewe huna .Experience muhimu.Wako akiwa kwako akitoka nje si wako .Watu Wanakula beef walahi hana hofu.Huyo mkeo ni M star Mzoefu .Watu wanakula beef walahi hana hofu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…