Nifanye nini niache umalaya?

Sijui kama ni kibamia au kisindano, ninachojua ukinipa nakula na ukiwa unakuja na marafiki zako pia nawala, nisaidie niache. Nimependa mzigo wako pia.
Utakuwa kibamia wewe ndo maana maelezo mengi...anyway vibamia mnapenda k hataree[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaancha siku ukipata ukimwi kwahiyo endelea tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera Sana huko Karagwe ndio JULIANA ilipoanza,Endelea tu mkuu kufanya hiyo michezo utapata unachokitafuta!
 
.
Katika kuishi kwangu hapa duniani nimegundua ni Mungu tu ndiye anayeweza kumbadilisha mtu kutoka asili ya zamani akawa mtu mpya.
.
Mtafute Mungu kwa kumaanisha, atakutoa kwenye hilo gereza la uzinzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…