😮😮😮 nani huyu☝Wataalam wa hizi shughuli...View attachment 1715994
Oyaa hii ni kwel aiseWatafute wa Masai wakupe maujanja sijawahi ona Masai wanandevu?
Jimwagie tindilali uso mzima.Habari wakuu
Mimi binafsi swala LA ndevu naliona kama kero ,nilikuwa nauliza ni namna gani mtu anaweza kufanya ili aisewe na ndevu .
Kuna muda ndevu zinanipotezea muda ,zinaharibu mwonekano kabisa ,nataman kidevu kiwe cheupe ,ndevu ni kero tupu ...
Mwenye namna yeyote wakuu msaaada
Ndo ushafika... ukimaliza la ndevu itahamia koroDSitaki kufika huko Mimi ..
Tumia mafuta ya castor oil unamassage every night.DAAAH NIMEUMIA KIAINA PINDI ME NAWAZA NIFANYAJE NDEVU ZANGU ZIWE NYNG WEE UNAWAZ KUTOA KABIXA...NNA 27yrs bado ndevu anaunga unga
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Watafute wa Masai wakupe maujanja sijawahi ona Masai wanandevu?
Habari wakuu
Mimi binafsi swala LA ndevu naliona kama kero ,nilikuwa nauliza ni namna gani mtu anaweza kufanya ili aisewe na ndevu .
Kuna muda ndevu zinanipotezea muda ,zinaharibu mwonekano kabisa ,nataman kidevu kiwe cheupe ,ndevu ni kero tupu ...
Mwenye namna yeyote wakuu msaaada
Dah basi siji tena kukutongoza maana utanitosa tu ngoja ndevu ziote kwanza. 😔😔Ndugu, mwanaume asiekuwa na ndefu amtake nani?
Yaani uwe smooth kama embe?
Hapana. Gerraurahiya.