Nifanye nini nisiote ndevu?

Sio fair lakini.
Kapambane na embe lako bana weeeeee.

Ndevu zina raha yake. Nyeusi, zilizojaaa zina masculinity flani hivi unajua yes nipo na kidume.

Hata ukilianzisha mtaani ile anatokeza tu watu wanajua dume hili.

Sio jogoo linakuwa kama tetea. Aku!
 
Kapambane na embe lako bana weeeeee.

Ndevu zina raha yake. Nyeusi, zilizojaaa zina masculinity flani hivi unajua yes nipo na kidume.

Hata ukilianzisha mtaani ile anatokeza tu watu wanajua dume hili.

Sio jogoo linakuwa kama tetea. Aku!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kapambane na embe lako bana weeeeee.

Ndevu zina raha yake. Nyeusi, zilizojaaa zina masculinity flani hivi unajua yes nipo na kidume.

Hata ukilianzisha mtaani ile anatokeza tu watu wanajua dume hili.

Sio jogoo linakuwa kama tetea. Aku!
Hahahha sikuwezi asee. 😁😁😁😁
 

Mwanaume ni ndevu wewe, sasa ukizitoa huoni aibu mwanaume mzima huna ndevu! Ngozi nyeusi ni wachache wenye ndevu, ivyo shukuru sana kuwa na ndevu.
 
Mwanaume bila ndevu ni sawa na afande bila SMG.

Kujamini kutapungua.

Wanaume tusio na ndevu tunadharauliwa sana.
 
Shida inakuja.. Unatakiwa ujue NDEVU zimekaa hapo zinakazi gani? Ukiachilia maswala ya kibbaiolojia.. ktk Muktadha wa kijinsia na muktadha wa maswala yetu ya kiutu uzima... Ndevu zina matumizi yake... Be careful
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ati turubai la ngozi[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…