Nifanye nini niweze kumsahau mpenzi wangu tuliyeachana?

Mbinu ni zile zile ukitaka single mother akupende/adate kwako anza kumteka mtoto wake kwanza kwa upendo wako.

Nirud kwenye mada inaonesha na ww pia ilikuwa unampenda ila tatzo ni kumbania (japo ni Jambo zuri kwa ustawi wa afya ya mtoto wako) hapo jipe mda tu na usiache kumtafta ipo siki atarudi kama kwel alikuelewa, ama achana nae focus kwenye malez ya mtoto wako
Uchaguz ni wako
 
Hebu namba yako
 
Tukisema wanawake mna maajabu mnakataa,,,, oneni Huyu alichokiandika Kwa kuzingatia ana mtoto ambaye hajamaliza hata mwezi.
 
Duuh!! Nadhani ifikie hatua wanawake tujitambue kwamba bila mwanaume inawezekana kulea mtoto na akakua pia,kitu ambacho naona mleta uzi hukijui na wala hujawahi kukifikiria.

Nionavyo kama una ajira tulia ulee mwanao achana na habari za wanaume kwani si ajabu wakakupa mimba ingine na hapo ndo utachizika kabisaa.
 
Mwenzio ameshakwambia yupo na familia. Acha kujibebesha mizigo na laana ya vilio vya familia. Fanya maisha yako dada. Utakuja kulia huko mbeleni hata kama atakugeukia wewe sasa. Ni suala la muda tu.
 
We dada unaogopa kuharibu mtoto lakn huogopi ukimwi ngoja akupe ukimwi afu akuache umwambukize mtoto wako...HV nimuda gani sahihi kusex baada ya ndoa? Jf hakuna makungwi wakufunde? Hukufundwa kwenu au ww sex addicted?
 
Sio kila single mother amekimbiwa punguza kukariri kama kuacha kabisa tabia hiyo imekushinda
Sasa dada mtoto hajakua tayari ushakimbilia kutafuta mwanaume.
Ulivyokuwa huna mimba ulikuaje?

Ukiona gari kwenye Lami lina matope ujue limetoka njia ngumu sanaa...

#YNWA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila huu ujinga wakuambia unaweza lea bila mwanaume muache. Hamuwatendei haki watoto zenu.

Kwa nini wanawake msiambiane kwamba jamani tuache kisasambuliwa mbususu kabla ya ndoa ili mzae mkiwa mmeshaolewa?
 
Acha hizo bwana mbona wanawake badoo wapo wastaarabu mie kule mbona nimewapata single maza watatu wote waetulia kabisa
Yani umewapata wa3 alafu unasema wametulia[emoji28][emoji28][emoji28]

Kwamba wewe kama wamekukubalia hawawezi kuwakubalia wengine??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…