Unajua maana ya kutulia wewe?Yani umewapata wa3 alafu unasema wametulia[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwamba wewe kama wamekukubalia hawawezi kuwakubalia wengine??
Sawa, nyote inaonekana mmetulia.Unajua maana ya kutulia wewe?
Kutulia sio kwamba hawasasambuliwi mbususu na wengine bali ni kwamba wao hawataki stress za kijinga za kunatana. Sie tunaenjoy life tuu na kila mtu yupo huru kuonja tamuuu zingine.
Usitutukane kwa sababu ya upuuzi wa uyo mjinga!![emoji51]
Wanawake wangapi umewasasambua Kwa Ndoa ...!?kiazi wewe [emoji16]Ila huu ujinga wakuambia unaweza lea bila mwanaume muache. Hamuwatendei haki watoto zenu.
Kwa nini wanawake msiambiane kwamba jamani tuache kisasambuliwa mbususu kabla ya ndoa ili mzae mkiwa mmeshaolewa?
Ili kumsahau huyo mzee points ni zile zile
1.Mpende na mtangulize zaidi mtoto wako kwa kila jambo
2.Anza kujiwekea akilini kwamba huyo mzee hakuwa wako tangu mwanzo(ambacho ni kweli hakuwa wako mana ana family yake)
3.Jiwekee uthamani ndani yako,jijali,jipende
4.Kuwa positive katika maamuzi ya kuamua kumove on
5.Sali sana
Kidogo kidogoMtani naona unayataka majukumu weyeee. 😅
Hahahahaha kazi kweli kweli.Vuta picha na vinyuzi vyake anaenda kumchanulia kibaba Cha watu na chenyewe kinaweka rungu bila huruma
Na za mamakoKiufupi tuu niseme kumamae zako, ahsante!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Napata ukakasi na uwezo wa kufikiri wa huyu mleta mada.yani ajifungue mtoto na nyuzi juu halafu aanze kutafuta wanaume uko badoo sijui,,,ni wa ajabu sana aiseh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilifikiri Dadii wangu kapata baby..... [emoji28][emoji28][emoji28]
Pheeeeewww....[emoji12][emoji12]