Nifanye nini niweze kuweka Akiba.

Uchumba ni kama mahindi mzee,kama hupalili ,huweki mbolea unategemea utavuna mahindi bora?
Afanye kitu simple old fashion,achonge kibubu siku izi vipo vya chuma mdogo mdogo atafika,mambo ya bank kwa wenye vijisenti pesa yote inaishia kwenye makato.
Bora aweke kwenye simu, vibubu ni rahisi kuibiwa kama mtu atakifumania. Mchumba simpi hela kama nitatoa mwisho hamsini sizidishi kama hataki aende tu.
 
Tafuta vikoba hapo mtaani kwenu utakuwa unaweka kiasi chochote kila wiki, hii itakusaidia sana
 
Bora aweke kwenye simu, vibubu ni rahisi kuibiwa kama mtu atakifumania. Mchumba simpi hela kama nitatoa mwisho hamsini sizidishi kama hataki aende tu.
Kwenye simu ni ngumu kufikia malengo maana simu hiyohiyo upo nayo kila sehemu na ni rahisi kutoa na kutumia.kibubu cha chuma ni rahisi inabidi awe na siri tuu.Punguza ugumu utakosa vitu vizuri,watoto wazuri utakuwa unawaita shemeji tuu.
 
Kwenye simu ni ngumu kufikia malengo maana simu hiyohiyo upo nayo kila sehemu na ni rahisi kutoa na kutumia.kibubu cha chuma ni rahisi inabidi awe na siri tuu.Punguza ugumu utakosa vitu vizuri,watoto wazuri utakuwa unawaita shemeji tuu.
nimemshauri ajiunge vikoba najua vitamtoa, hawa watoto pasua kichwa sana mtu unampa kila kitu halafu anachepuka wa kazi gani huyo
 
nimemshauri ajiunge vikoba najua vitamtoa, hawa watoto pasua kichwa sana mtu unampa kila kitu halafu anachepuka wa kazi gani huyo
Sawa mtoa mada ana option nyingi ni yeye kuzifanyia kazi tuu.hahaa tatizo liko wapi kama unahonga na unapewa unavyotaka,ukitaka wa peke tako weka ndani.
 
Huwezi kuweka Akiba wakati huna malengo nayo! Kwanza Jiulize kwa nini unataka kuweka Akiba kama unaweka bila sababu ya msingi pia Hutaweza.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…