Nifanye nini nywele za binti yangu ziache kujisokota?

Nifanye nini nywele za binti yangu ziache kujisokota?

sixlove

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
563
Reaction score
393
Habari wadau, poleni na majukumu ya siku nzima. Naomba kujuzwa juu ya hizi nywele za kipilipili. Je zinakuwa za kurithi(zipo katika genes zetu)? au lah.

nimeuliza hivyo kwa sababu binti yangu (2 years old) uotaji wake nywele za kichwani, haupo sawa. Katika eneo la juu ya kichwa zinaota na kukua vizuri, ila pembeni ya kichwa (kulia na kushoto) zinajisokota. Naomba msaada please, tatizo ni nini na nini nifanye ili nywele zake ziwe sawa.

Asante
 
Habari wadau, poleni na majukumu ya siku nzima. Naomba kujuzwa juu ya hizi nywele za kipilipili. Je zinakuwa za kurithi(zipo katika genes zetu)? au lah.

nimeuliza hivyo kwa sababu binti yangu (2 years old) uotaji wake nywele za kichwani, haupo sawa. Katika eneo la juu ya kichwa zinaota na kukua vizuri, ila pembeni ya kichwa (kulia na kushoto) zinajisokota. Naomba msaada please, tatizo ni nini na nini nifanye ili nywele zake ziwe sawa.

Asante
upload_2018-3-18_18-10-20.jpeg


xdgAt8tB7RQOkBvtuL1W1ZYi_vc1JF-2uuFQh7j0ByLgbJ75b_DEvJaWx7OUUa37Tujgc43EOvmTZrUwOVhfgwH3dMdou0H8x_1j8KtrJRet77ksAZuYViFEmW1GQSeT7lhfOw=s0-d
 
Nasikiaga za kurithi..alafu kwa mtoto wa miaka miwili shaka ondoa..ila jitahid kila zinapokua mnyoe ili zikue kwa uwiano sawa
 
Miaka miwili bado mdogo uotaji wa nywele hua hivyo kwa wale vipilipili.... uwe unampaka mafuta ya nazi yale Home Made.... usijali atakua sawa tu.
 
Back
Top Bottom