za leo wandungu, jamani naombeni mnisaidie mimi na kitu shingoni kimevimba na natakiwa kufanyiwa operation. Ila kila mda ukifika na cancel nakuweka tarehe nyingine. Shida yangu kuu ni kuogopa kaputi. Nisaidieni jamani, hivi eti kaputi huu ua na ni nini nifanye ili nitoe huu uoga. Naukiwekewa mtu hujisikiaje haswa. Ntashukuru sana wapendwa kwa msaada wenu.
Kama upo bongo lazima hofu ikufike wangu lakini kama upo nje ya nchi punguza hofu. Cha msingi jikabidhi mikononi kwake muumba atakulinda wakati wa upasuaji na kukuponya kwa hilo. Nakuombea upate kupona mumy.
za leo wandungu, jamani naombeni mnisaidie mimi na kitu shingoni kimevimba na natakiwa kufanyiwa operation. Ila kila mda ukifika na cancel nakuweka tarehe nyingine. Shida yangu kuu ni kuogopa kaputi. Nisaidieni jamani, hivi eti kaputi huu ua na ni nini nifanye ili nitoe huu uoga. Naukiwekewa mtu hujisikiaje haswa. Ntashukuru sana wapendwa kwa msaada wenu.
Jamani asanteni sana kwa walionipa moyo. Maana naona kama wengine wanadhani na joke vile. Niko nchi za nje, nijibu swali kwa walioniuliza. Uoga lazima uupate kama ni kwa mara ya kwanza. Mimi niliitaji mtu mwenye uzoefu au Dr. kabisa anieleze jinsi huwa. Ila nashukuruni sn. Will let u know when am done. Thanks alot.