Me mwenyewe niko single...teh!teh!teh
jaman ndo inatokea kila mtu au ni mm tu.?tangu tumeachana na aliekua mpenz wangu nikikaa nikiona kitu kizur na mkumbuka i wish to buy for him,nikilala naota we ar together nikisoma stories nnampa uhusika,nikiangalia muvi ndo shida kabisa.nau nimechoka na muwaza mtu ambaye haniwazi.what can i do people.
najaribu nisahau nnaenda mazoezi sana nau dayz najaribu kujikip buzy kupita kias but nil.nn cha ziada wapendwa?
KUBALI...ACCEPT....ACCEPTERA...ACEPTAR kwamba sio wako tena!
umeacha kichagga dada!
ikiwezekana ani pm 2.kwa hiyo unataka ku-replace hizo ndoto? lol!
jaman ndo inatokea kila mtu au ni mm tu.?tangu tumeachana na aliekua mpenz wangu nikikaa nikiona kitu kizur na mkumbuka i wish to buy for him,nikilala naota we ar together nikisoma stories nnampa uhusika,nikiangalia muvi ndo shida kabisa.nau nimechoka na muwaza mtu ambaye haniwazi.what can i do people.
najaribu nisahau nnaenda mazoezi sana nau dayz najaribu kujikip buzy kupita kias but nil.nn cha ziada wapendwa?